Hivi kwanini tunamuita Mama Samia na sio Rais Samia Suluhu?

Hivi kwanini tunamuita Mama Samia na sio Rais Samia Suluhu?

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Jana Tarehe 2.10.2024,

Nilikua naongea Sehemu. Kuna kitu nilikua sijui ikabidi niulize nasikia mara nyingi Rais anaitwa Mama Samia. Anamtoto anaitwa Samia?

Wakaja wajuzi wakaniambia Samia ni Jina lake. Kwa mtazamo wangu, kwani Tukimuita Rais MH: Samia Suluhu vipi haitoshi au uchawa ndo umesababisha, mpaka kumuita Mama.

Swali je ikitokea Nchi kashika Mwanaume Tutamuita Baba..Au Hapo imekaaje waungwana.
 
Kwamba Mama Samia, ana mtoto anaitwa Samia,

Who knows!!
 
Jana Tarehe 2.10.2024.
Nilikua naongea Sehemu. Kuna kitu nilikua sijui ikabidi niulize nasikia mara nyingi Rais anaitwa Mama Samia. Anamtoto anaitwa Samia?

Wakaja wajuzi wakaniambia Samia ni Jina lake. Kwa mtazamo wangu, kwani Tukimuita Rais tu Samia Suluhu vipi haitoshi au uchawa ndo umesababisha, mpaka kumuita Mama.

Swali je ikitokea Nchi kashika Mwanaume Tutamuita Baba..Au Hapo imekaaje waungwana.
Watu wanapenda kujibebisha.
 
Back
Top Bottom