Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Nimemchunguza kwa muda mrefu na hatimaye nimegundua kuwa msanii kutoka tiptop connection Tundaman aliyewahi kutamba na ngoma kama vile starehe gharama , nipe ripoti nk anamchukia kupita kiasi msanii anayesumMusic
unia kwa sasa kutoka nchini Tanzania ambaye si mwingine bali ni Naseeb Abdul (Diamond Platnumz).
Sielewi kwa nini Tundaman anachuki zilizopitiliza kwa diamond hali ya kuwa diamond hamchukii yeye (tundaman) na hata akitaka msaada wa aina yoyote ile diamond kiroho safi atamsaidia.
Tundaman mara kwa mara amekuwa akimkandia sana diamond sielewi kwa nini ana roho mbaya kiasi hiki sijui ni mmakonde au mzaramo huyu maana wamakonde na wazaramu wanaongoza kuwa na roho za kwa nini bila sababu yoyote ile ya msingi.
Diamond kwa kuonesha hana chuki na Tundaman amemfollow mpaka instagram kitu ambacho ni cha kipekee sana yaani msanii wa kimataifa kama yeye amfollow mtu wa hovyo mwenye roho mbaya kama Tundaman.
Zamani nilikuwa namkubali sana Tunda ila baada ya kugundua anamchukia Chibu bila sababy aisee siku hizi simkubali kabisa yaani.
Wasanii wengi hapa nchini wamekuwa wanamchukia sana diamond lakini mwisho wa siku nafsi zinawasuta na kuamua kujirudi wenyewe mfano H-baba naye mwanzoni alikuwa anamkandia diamond mara kwa mara lakini mwisho wa siku alijutia sana maamuzi yake na akaamua kujirudi kwa diamond kwa kuanza kumpost mara kwa Mara akimsifia sifia.
List ya wasanii wengine wanaomchukia diamond bila sababu ya msingi ni hii hapa.
1)Mr Blue
2)Dulla Ambua(Dulla wa Planet Bongo
3)Baraka the prince
4)Q chief
5)TID
6)Timbulo
7)Aslay
*Rich Mavoko; huyu mwanzoni naye alikuwa akimkandia diamond mara kwa mara kabla ya kuja kumpigia magoti na kuomba kuinuliwa na diamond.
Hawa ndio magwiji ingawaje wapo wengine ambao wanajifanya hawamkubali diamond lakini kimoyo moyo wanamkubali sana
1)Ali Kiba
2)Ommy Dimpoz
3)Neddy Music
Kwa mwendo huu wasanii wa TZ kufanikiwa itachukua muda mrefu sana yani badala ya kumtumia diamond ili na wao wafanikiwe badala yake wanapambana kumshusha kila kukicha.
Lakini diamond wala hana kinyongo nao kiroho safi amekunjua roho muda wowote wakihitaji msaada kutoka kwake atawasaidia.
unia kwa sasa kutoka nchini Tanzania ambaye si mwingine bali ni Naseeb Abdul (Diamond Platnumz).
Sielewi kwa nini Tundaman anachuki zilizopitiliza kwa diamond hali ya kuwa diamond hamchukii yeye (tundaman) na hata akitaka msaada wa aina yoyote ile diamond kiroho safi atamsaidia.
Tundaman mara kwa mara amekuwa akimkandia sana diamond sielewi kwa nini ana roho mbaya kiasi hiki sijui ni mmakonde au mzaramo huyu maana wamakonde na wazaramu wanaongoza kuwa na roho za kwa nini bila sababu yoyote ile ya msingi.
Diamond kwa kuonesha hana chuki na Tundaman amemfollow mpaka instagram kitu ambacho ni cha kipekee sana yaani msanii wa kimataifa kama yeye amfollow mtu wa hovyo mwenye roho mbaya kama Tundaman.
Zamani nilikuwa namkubali sana Tunda ila baada ya kugundua anamchukia Chibu bila sababy aisee siku hizi simkubali kabisa yaani.
Wasanii wengi hapa nchini wamekuwa wanamchukia sana diamond lakini mwisho wa siku nafsi zinawasuta na kuamua kujirudi wenyewe mfano H-baba naye mwanzoni alikuwa anamkandia diamond mara kwa mara lakini mwisho wa siku alijutia sana maamuzi yake na akaamua kujirudi kwa diamond kwa kuanza kumpost mara kwa Mara akimsifia sifia.
List ya wasanii wengine wanaomchukia diamond bila sababu ya msingi ni hii hapa.
1)Mr Blue
2)Dulla Ambua(Dulla wa Planet Bongo
3)Baraka the prince
4)Q chief
5)TID
6)Timbulo
7)Aslay
*Rich Mavoko; huyu mwanzoni naye alikuwa akimkandia diamond mara kwa mara kabla ya kuja kumpigia magoti na kuomba kuinuliwa na diamond.
Hawa ndio magwiji ingawaje wapo wengine ambao wanajifanya hawamkubali diamond lakini kimoyo moyo wanamkubali sana
1)Ali Kiba
2)Ommy Dimpoz
3)Neddy Music
Kwa mwendo huu wasanii wa TZ kufanikiwa itachukua muda mrefu sana yani badala ya kumtumia diamond ili na wao wafanikiwe badala yake wanapambana kumshusha kila kukicha.
Lakini diamond wala hana kinyongo nao kiroho safi amekunjua roho muda wowote wakihitaji msaada kutoka kwake atawasaidia.