Katika zama hizi za kidijitali, inakuwaje mwanafunzi anakatazwa kumiliki na kutumia simu shuleni?
Simu imebeba maarifa yote ya dunia, ambayo mwanafunzi anapaswa kujifunza na kuyafahamu, lkn anakatazwa.
Nini kinaogopwa, 0 kwa gharama ya kuwanyima wanafunzi kupata maarifa?
Simu imebeba maarifa yote ya dunia, ambayo mwanafunzi anapaswa kujifunza na kuyafahamu, lkn anakatazwa.
Nini kinaogopwa, 0 kwa gharama ya kuwanyima wanafunzi kupata maarifa?