Hivi kwanini wanawake hawapendani?

1. Takwimu? Au unaongea tu braza?
2. Wanaume wanapendana eti?
3. Unasema hivyo kwa sababu wanawake ni wepesi kunyesha hisia zao. Ila wanaume hawako hivyo.
4. Kuchukiana kupo kila mahali...
Usiku mwema. Ukipata jibu utanieleza.
 
Mi nafikiri kwasababu na wanawake.
 
ata kwa mchumba wangu haya mambo nayaona wanawake kweli hawapendani.eaxactly indeed
 
Umekosaaaa!

Kuna Tofaut Baina Ya Roho Mbaya Na Ukatili, Ujasiri Na Ushujaa, Woga Na Huruma, Wanawake Wengi Wanaroho Mbaya Ukilinganisha Na Wanaume, Rejea Maeneo Muhmu Kama Mtoto Wa Kambo, Ukewenza, Bosi Mwanamke Kwa Wanawake, Nesi/Dokta Kumzalisha Mjamzito,Barabarani Unaomba Kuingia Njia Kuu Na Mwanamke Ndo Dereva Nk.Nk Nahisi Ni Hulka Za Baadhi Za Watu Binafsi Na Ni 'nurture' Wala Si 'Nature' Ambapo Wanaweza Kubadlika Wakawa Na Huruma.
 
Kwa Tafiti Ndogo Nilizofanya Nimegundua Kua Aina Hyo Wanawake Wengi Wao Wanaishi Dalesalama.
 
Kaka mie ndio nawapenda ivo ivo walivyo, vita vya panzi furaha kwa kunguru... na watagongwa wote mpaka wajirekebishe, hakuna namna!!..
 
Namsemo wao haki sawa , ooh sijui tunadhadhalishwa wakati wenyewe ndo wanachangia wanawake sijui wakoje mm huwa nawaangaliaga tuu ila kweli hawapendani maana kuna siku alipanda mmama mjazito miezi km 8 hata kutembea alikuwa tabu kwa daladala siti za mbele zote walikuwa wanawake lkn hawaja msitiri mwenzao oooh wanawake na maendeleoo
 
Wanawake wenyewe hawapendani na sisi wanaume hatuko tayari kuongozwa na mwanamke!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…