ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,697
Nilikuwa nausikia msemo mmoja kwamba kikwazo kikubwa katika ku- empower women ni wanawake wenyewe. wanawake ndio kikwazo kikubwa katika harakati za kumuinua mwanamke.
Utakuta mwanamke amefungua duka lakini mwanamke kwenda kununua duka la mwanamke mwenzake ndio inakuwa kazi.
Hivi majuzi kuna mama mmoja alikuwa anagombea ubunge tukategemea kwa kuwa wapigakura wengi ni wanawake katika jimbo hilo huyo mama atafanikiwa kwa kuwa alikuwa na sera nzuri za kuwaendeleza wanawake wenzake , lakini kilichompata mama huyo ni aibu hata kuelezea akaanguka vibaya akawa wa mwisho kati ya watu sita.
Dada mmoja aliwahi kunijibu different gender matters , nikashangaa sana .
Hivi ni kitu gani kinachowafanya wanawake mshindwe kupatana.
Anayejua atusaidie kutudadavulia.
Utakuta mwanamke amefungua duka lakini mwanamke kwenda kununua duka la mwanamke mwenzake ndio inakuwa kazi.
Hivi majuzi kuna mama mmoja alikuwa anagombea ubunge tukategemea kwa kuwa wapigakura wengi ni wanawake katika jimbo hilo huyo mama atafanikiwa kwa kuwa alikuwa na sera nzuri za kuwaendeleza wanawake wenzake , lakini kilichompata mama huyo ni aibu hata kuelezea akaanguka vibaya akawa wa mwisho kati ya watu sita.
Dada mmoja aliwahi kunijibu different gender matters , nikashangaa sana .
Hivi ni kitu gani kinachowafanya wanawake mshindwe kupatana.
Anayejua atusaidie kutudadavulia.