Hivi kwanini wanawake hawawatafuti wanaume wenye bikra?

Nikitafakari mvutano wa sumaku (+ve na -ve), siamini kama anaweza kuikosa wakati mtu anakua anaona hata za watoto. Atashindwa kuiweka lakini siyo kutokuiona.

Jamani hii sio story ya kahawa ni kweli nasema!!!!
 
tatizo mwanaume akiwa bikra ukamonjesha akajua utamu utaishia kuona vumbi tu maana atataka ajaribishe kwa mtaa mzima. na wanavyojua kutiana ujinga utashangaa washikaji wanamwambia ili awe mwanaume kamili ni lazima awe na number kubwa ya wanawake aliowapitia. ndo maana huwa tunasubiri iote sugu kwanza
 
Nasikia eti wataalamu wanasema kuna tofauti katika muonekano kati ya dushe lililopitia mikiki mingi na lile changa!

Factor hasa inayoangaliwa hapa ni ipi?
 
Nasikia eti wataalamu wanasema kuna tofauti katika muonekano kati ya dushe lililopitia mikiki mingi na lile changa!

Factor hasa inayoangaliwa hapa ni ipi?

Kwa waliotahiriwa sidhani kama unaweza kutofautisha whether dushe limepitia mikiki au la.

Kwa ambazo hazijatahiriwa unaweza tofautisha.
 
Kwa waliotahiriwa sidhani kama unaweza kutofautisha whether dushe limepitia mikiki au la.

Kwa ambazo hazijatahiriwa unaweza tofautisha.

kuna factor moja ambayo wanaikonsida sana wataalam wa ngono!

kwamba endapo dushe itakuwa nyeusi sana pamoja na mng'ao fulani hivi, basi hiyo ndiyo imetumika sana!!!!

halafu zile changa unakuta zina kama wekundu wekundu hivi, zinatekenyeka kirahisi rahisi!

msinihukumu jamani!!
 
Yani hawajuagi zilipo serious!!!!!!!

dah! dada utani mwingine si mzuri!

haya mambo bwana huwa ni automatic kabisa!

la sivyo mtu angepeleka kwenye tigo basi, kwanini akatafuta mbele?

we unafikiri adam na eva walijuaje central entrance ilipo! wote si walikuwa mabikra?
 

Hahahaa hiyo ni kweeeeliii kabsa!spkn frm xprience!
 
mm nahisi japo kuwa mwanaume bikira anakuwa na mapungufu yake lakin wakati mwengine anakuwa na mazur yake mengi sana.

kwasababu mm binafsi yameshawahi kunitokea, nimetolewa bikira na mdada fulan nikiwa na miaka 23,

kwa kweli mwanzo ilikuwa vichekesho, ila mwisho wa siku yule mdada alining'ang'ania alikaribia kuniuwa wakati naachana nae.
yeye alikuwa na umri km 35 ivi,

lakin kuna siku aliwahi kuniambia, ile siku ya mwanzo nilikuwa nataka kukukimbia ila kama nisingelikuwa mvumilivu nisingelipata raha kama hizi na nakuapia kwa mungu tangia niwe na fahamu mambo ya mapenz , sijawahi kuona utamu wa mapenz km ulionipa.
ni story ndefu sana, ila mwisho wa siku nahisi kuwa mwanaume bikira anaheshima yake km dada zetu watakuwa wavumilivu kwa siku mbili tatu.
 
Hata uende kwa mganga uwezi pata,pia hakuna namna unaweza prove keamba huyu n bikra.


Zaidi ya kuisi
 
Ni vigumu kuthibitisha ubikira wa mwanaume kama kumtafuta paka mweusi ndani ya chumba cha giza..
 

Hahahahaha. Kumbe K ni kama tanuru.....hadi inasababisha dushe kuwa nyeusi!!!
 

Vipi na mwanamke mwenye bikra akionjeshwa? Yeye anabaki ametulia tu?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…