just curious, habari zenu wadau!
Nimejiuliza sana hili suala la muda mrefu! Nimeona sasa ni bora nililete hapa tujadiliane!
Imekuwa kama kasumba hivi kwa wanaume kulilia wanawake wenye bikra!! Kila leo hawakosi mpaka wengine wanatangaza dau za mamilioni kununua bikra hizo!
Sasa mi binafsi ninachojiuliza, kwanini wanawake wenyewe huwa hawatafuti vidume wenye bikra?
Je, wanahisi utendaji kazi utakuwa chini ama vipi?
Je, wanawake wanapokutana na wanaume wenye ubikra, hali huwa inakuaje?
Ni hayo tu waungwana!
Lakini wewe siku ya kwanza si ulielekezwa na mtu?
Kwa nini uwe mchoyo kumuelekeza mwenzio?!
dah! dada utani mwingine si mzuri!
haya mambo bwana huwa ni automatic kabisa!
la sivyo mtu angepeleka kwenye tigo basi, kwanini akatafuta mbele?
we unafikiri adam na eva walijuaje central entrance ilipo! wote si walikuwa mabikra?
Ungemwambia atumie kurunzi kuitafuta
Tufiakwaaa.....m'mbanuu.....
Vipi na mwanamke mwenye bikra akionjeshwa? Yeye anabaki ametulia tu?!
inategemea kaonjeshwa na nani, ana umri gani, na huyo jamaa ana umri gani, na kama walikuwa wamelewa au sober, na kipato cha jamaa. ila mie binafsi mwanaume bikra sitaki kabisa, huwa wanazibuka vibaya!
Ni ngumu sana kuthibitisha bikra ya mwanaume,pia inakubidi utambue mfumo tulioukuta umebase sana kwa mwanamke na si kwa mwanaume hiyo imepelekea wanawake kutojali hilo kama wanaume wanavyojalijust curious, habari zenu wadau!
nimejiuliza sana hili suala la muda mrefu! nimeona sasa ni bora nililete hapa tujadiliane!
imekuwa kama kasumba hivi kwa wanaume kulilia wanawake wenye bikra!! kila leo hawakosi mpaka wengine wanatangaza dau za mamilioni kununua bikra hizo!
sasa mi binafsi ninachojiuliza, kwanini wanawake wenyewe huwa hawatafuti vidume wenye bikra?
je, wanahisi utendaji kazi utakuwa chini ama vipi?
je, wanawake wanapokutana na wanaume wenye ubikra, hali huwa inakuaje?
ni hayo tu waungwana!
Daaaah kwaio nafa na bikra yangu hunitaki
mwanaume bikra labda yule ambaye hawahi kukutana na mwanake yaani mashine yake haitawahi kutumia ndo bikra
Unafikiri kwa kipindi hichi utawapata wanaume wenye bikira suthubutuu labda katika 10 utaambulia 1 ambaye ndo kwanza katoka kubarehe majuzi halafu wewe ndo uwe wa kwanza kumbikiri
kwa nyakati hizi bestito ni vigumu kumpata mwanaume bikira wengi wao wameshapotoka na kuziondoa hizo ndude zao wewe acha tu best ni majanga tu kwao
nani anataka kuwa mwalimu wa chekechea
hahaha! Simvunji misuli, nataka asijutie kunizawadia bikra yake. Lol
Afadhal chekechea...vidudu kabisa