To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣 Hakika...Niombee tu nisipate ajali 😅
Maombi yamefika mbinguni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Hakika...Niombee tu nisipate ajali 😅
Engineers wengi wanaonekana wazee wa kazi ngumu mzee.hivyo hawana muda na mapenziHao Engineers wanaonekana hard-cores ki vip?
Maelezo zaidi tafadhari
😘🤣🤣🤣 Hakika...
Maombi yamefika mbinguni
Engineers wengi wana pesa, especially wale ambao ni consultantsMimi ni mtu wa sales and marketing na huwa inanipa wakati mgumu kumuelezea mwanamke(hawa ambao ni zero brain waliojaa mitaani but ni pisi kali)
Kazi yangu inahusika na nini,na kwa nature ya kazi yangu naweza nikapitisha hata siku tatu nisiingie job as order zinakua zinaflow zenyewe tu kwa kupitia simu hivyo baadhi ya wanawake naokua nao huwa wanahisi sina ramani hivyo kunikimbia sometimes,but kiukweli nawaambia katika kampuni yoyote ile hakuna watu wana maisha mazuri na huwa hatufulii kama sisi watu sales and marketing department.
So baada ya kuona wanawake design flani hawanielewi kisa hawajui michongo ninayopiga nikaamua kufanya kautafiti kasiko rasmi
Nikagundua kuwa most of mademu mjini wanapenda kutoka na watu wenye title hizi,but hao watu hawana pesa kiukweli ila wana mbwembwe nyingi tu.
Madem wengi wanavutiwa na hizi titles
1.Wahasibu
2.Bankers
3.Auditors
4.Doctors
5.Pilots
6.Engineers ingawa sio sana coz most of them wanaonekana hard-cores.
7.Wanajeshi
8.Advocates
Ndugu yangu ukitongoza mwanamke useme wewe sijui ni mtu wa sales au sijui afisa kilimo lazima ule za mbavu.
Marketing ni fani kubwa sana usiichukulie poaYaani hyo list uliyoiweka unajifaninisha nao kweli wewe mtu wa sales and marketing are you serious.
Una gari ww?
Nyumba yako?
Familia?
Au ndio kazi mademu tu kijana
Aise Mkuu hametusahau bodaboda 😂Umewaacha maafisa usafirishaji
Na hawa ndio first priorityWachoma "kiepe" wawekwe kwenye orodha tafadhali.
Boda, bajaji sijui kawasahaujeAise Mkuu hametusahau bodaboda 😂
hawa top 3 wako karibu na pesa, na wanawake wanapenda nini.... pesa.1.Wahasibu
2.Bankers
3.Auditors
Kazi ni kazi unayoidharau mwenzako inamfanya aishi. Utakuwa na shida sio bure.Yaani hyo list uliyoiweka unajifaninisha nao kweli wewe mtu wa sales and marketing are you serious.
Una gari ww?
Nyumba yako?
Familia?
Au ndio kazi mademu tu kijana
Fisi Hilo.hawa top 3 wako karibu na pesa, na wanawake wanapenda nini.... pesa.