Hivi kwanini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wachezeshe makalio yao?

Hivi kwanini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wachezeshe makalio yao?

Wakuu hii kitu inanishangaza sana hivi ni kwanini wanawake wakiwa wanacheza mziki lazima wainame iname kwani style nyingine hamna ?

Huwa nashangaa sana ,hivi hii inasababishwa na nini?
Mwanamke mtaji wake ni makelio na silaha yake ya maangamizi ni mdomo mkuu...
 
Achilia mabali kucheza mziki...we kaa karibu nae anapovaa nguo utamuona anajiremba na kitu cha mwisho lazima ajiangalie ktk kioo cha dressing table kwa kujizungusha zungusha ili tu aone kalio limekaaje.....ila chanzo cha yote ni nyinyi wanaume wa sikuhz mnaopenda makalio...na wao wanatumia fursa ipasavyo kuwanasa
 
Ebohh! Unataka wachezeshe mashavu...
 
Wengine ni flat lkn atatikisa tu ilimrad hapo nyuma payumbe
 
Style nyingi za ku dance watu wanakuwa trained katika ulimwengu wa giza halafu wanakuja nazo huku duniani.
 
Back
Top Bottom