Tunakoelekea tutaanza kuandamwa kama wadada wa Kichaga wanavyoandamwa humu kila siku.
Nitajie Wasukuma wanaopenda sifa ya matumizi na walio warahisi kudanganywa.
Nasikia akina dada husema Wasukuma wanajua sana mapenzi, ukiwanaye kitandani anafanya kweli.
Pia wanajua sana kujari.
kumbe ndio maana wanawake wananin'gan'gania kila kukichahao wanawake uliokutana nao wewe ni wa wapi....?
ninavyojua mimi.....wanawake wengi tunapenda wanaume wa kisandawe.......
Preta Preta Preta! Hiyo yako kali! Lol!hao wanawake uliokutana nao wewe ni wa wapi....?
ninavyojua mimi.....wanawake wengi tunapenda wanaume wa kisandawe.......
Tatizo watu wengine mmezoa kwamba mwanaume kua na uso wa mbuzi ndio uanaume. Fungua akili, ruhusu elimu, pokea mabadiliko, kubali ukweli.
Mkuki kwa nguruwe. . . mtakoma!!CV ndo zinapakwa matope hivyo.
hao wanawake uliokutana nao wewe ni wa wapi....?
ninavyojua mimi.....wanawake wengi tunapenda wanaume wa kisandawe.......
wasandawe ni wa wapi?alafu watakuwa siyo popular
Uso wa mbuzi ndio nini,....hebu funguka hapo_ili tuipate elimu kisawa sawa.
ukiwa na mwanaume wa kisukuma ombea kipato chake kisiongezeke maana wanapenda sana kufungua zipu kuholeleNimekutana na wanawake wengi, na wanasema wanapenda sana wanaume wa kisukuma sijajua kwann wanapenda?
Nasikia akina dada husema Wasukuma wanajua sana mapenzi, ukiwanaye kitandani anafanya kweli.
Pia wanajua sana kujari.
Ushawahi kutwangwa ngumi ya Kisukuma wewe?
Nimechoka. . . .
Ila ngoja nijitahidi, nikikosea herufi naomba nisirekebishwe.
Ni wanaume ambao muda wote wanafokafoka/wanakua wakali, kutabasamu ama kuongea kwa utaratibu na upole kwa mwiko. Kuwasikiliza wenzi wao ndio kabisa hairuhusiwi, hata kama wanachosema/shauri kina mantiki kuliko alichokua anafikiria yeye. Wanaona maisha yanayoendeshwa kwa MAKUBALIANO badala ya AMRI unaondoa uanaume.
Sasa niwaambie. . . kama huamini kwamba uanaume wako ni zaidi ya kuwa mwelewa na mtu anaejali mawazo na mahitaji ya wengine basi wewe sio mwanaume. Na hao Wasukuma mnaowaponda ndio wanaume na ndio maana hata dada zenu na wapenzi wanawafagilia.
Waeleze waellewe jinsi gani mnavyo wafill.Nimechoka. . . .
Ila ngoja nijitahidi, nikikosea herufi naomba nisirekebishwe.
Ni wanaume ambao muda wote wanafokafoka/wanakua wakali, kutabasamu ama kuongea kwa utaratibu na upole kwa mwiko. Kuwasikiliza wenzi wao ndio kabisa hairuhusiwi, hata kama wanachosema/shauri kina mantiki kuliko alichokua anafikiria yeye. Wanaona maisha yanayoendeshwa kwa MAKUBALIANO badala ya AMRI unaondoa uanaume.
Sasa niwaambie. . . kama huamini kwamba uanaume wako ni zaidi ya kuwa mwelewa na mtu anaejali mawazo na mahitaji ya wengine basi wewe sio mwanaume. Na hao Wasukuma mnaowaponda ndio wanaume na ndio maana hata dada zenu na wapenzi wanawafagilia.
Wanaume wa kisukumu ni yes-men! Hawakatai chochote kutoka kwa wapenzi wao. Chochote anachokisema mwanamke ni lazima atakifanya. Kwa lugha nyingine ni kwamba, hawana msimamo. That's all what women want!!
Nimechoka. . . .
Ila ngoja nijitahidi, nikikosea herufi naomba nisirekebishwe.
Ni wanaume ambao muda wote wanafokafoka/wanakua wakali, kutabasamu ama kuongea kwa utaratibu na upole kwa mwiko. Kuwasikiliza wenzi wao ndio kabisa hairuhusiwi, hata kama wanachosema/shauri kina mantiki kuliko alichokua anafikiria yeye. Wanaona maisha yanayoendeshwa kwa MAKUBALIANO badala ya AMRI unaondoa uanaume.
Sasa niwaambie. . . kama huamini kwamba uanaume wako ni zaidi ya kuwa mwelewa na mtu anaejali mawazo na mahitaji ya wengine basi wewe sio mwanaume. Na hao Wasukuma mnaowaponda ndio wanaume na ndio maana hata dada zenu na wapenzi wanawafagilia.