Hivi kwanini watoa bikra wengi ni wapita njia?

Hivi kwanini watoa bikra wengi ni wapita njia?

Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Sasa wasipo pita njiani watapita wapi kwenye mawingu [emoji23] anyway natania
Sababu ya sisi wanaume kula na kusepa zipo nyingi ila moja wapo ni inategemea na muda uliotumia mpaka kumkubali kama umetumia muda mrefu hamu ya kua na wewe inaisha hivo ukija kukubali naye atakula mzigo asepe atajua ni tunzo umemzawadia baada ya kumsumbua muda mrefu (wakati huo kumbuka hamu ya kua na ww ishamuisha)

Zingine ni sababu ndogondogo kama kupenda pesa kupitiliza, ku fake life, kutokua msikivu na kujishusha
 
Kwanza nianze na nyie wadada. Kati age yenu ya ujana huwa mnakimbilia bad boys (mabaharia). Goodman wenye nia njema huwa mnawapiga chini.

Badboys wakishawaharib mnaanza kusema wnaume wote wabaya.. wabaya kivip wkt wale wema ulIwapiga chini kisa hawana swag.. hawajui fashion.. hawana muonekano kama wa wana muziki.
Uka mkimbilia mmuni mmoja kakutindua huko unakuja lalama.


Kwa wakaka napo. Kama unajua kabisa huyu dada sina future naye. Just dump her.. it is not worth it coz unavyomchezea na kumuacha na yeye ataingiwa na kisasi. Atafanyia wanaume wengine wenye nia.
Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
 
Kwanza nianze na nyie wadada. Kati age yenu ya ujana huwa mnakimbilia bad boys (mabaharia). Goodman wenye nia njema huwa mnawapiga chini.

Badboys wakishawaharib mnaanza kusema wnaume wote wabaya.. wabaya kivip wkt wale wema ulIwapiga chini kisa hawana swag.. hawajui fashion.. hawana muonekano kama wa wana muziki.
Uka mkimbilia mmuni mmoja kakutindua huko unakuja lalama.


Kwa wakaka napo. Kama unajua kabisa huyu dada sina future naye. Just dump her.. it is not worth it coz unavyomchezea na kumuacha na yeye ataingiwa na kisasi. Atafanyia wanaume wengine wenye nia.
Yaaani nimekosa Cha kucoment sito sahau nanenane yule dada anaenda vichakani na mlevi sijui huwa wanawaza Nini.....
 
Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Wengi wanaotolewa bikra nje ya ndoa hugeuka vicheche baada ya kuonja radha ya asali.
 
Kwanza nianze na nyie wadada. Kati age yenu ya ujana huwa mnakimbilia bad boys (mabaharia). Goodman wenye nia njema huwa mnawapiga chini.

Badboys wakishawaharib mnaanza kusema wnaume wote wabaya.. wabaya kivip wkt wale wema ulIwapiga chini kisa hawana swag.. hawajui fashion.. hawana muonekano kama wa wana muziki.
Uka mkimbilia mmuni mmoja kakutindua huko unakuja lalama.


Kwa wakaka napo. Kama unajua kabisa huyu dada sina future naye. Just dump her.. it is not worth it coz unavyomchezea na kumuacha na yeye ataingiwa na kisasi. Atafanyia wanaume wengine wenye nia.
Uko sahihi mkuu. Bahati mbaya kwa wadada, vijana wenye malengo ya muda mrefu hawana kipawa cha kuchana mistari mitamu. Wenye verse za kuvutia masikioni ni waharibifu
 
Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Hiyo inatokana na wasichana wenyewe. Wakishatolewa basi wanakuwa HOT wanafungua njia sasa mtu unaona kuna haja gani ya kuendelea nae wakati hafit. Muda mwingine mnajisababishiaga wenyewe.
 
Vijana walio serious wengi huwa hawakubaliwi na hao mabinti.
Mabinti wanapenda fantasy za kijinga jinga.
Jua likizama ndio wanaanza kutafuta watu serious.
Wachache Sana waling'amua mapema ndio wameolewa na waliowatoboa hizo bikira.
 
Wengi wanatumia kigezo cha bikra kufanya maovu wakidhani kuachwa itakua ngumu, kuna mmoja ad leo ananilaum kumuacha lakin alinifosi yeye kwa mienendo yake, dharau nyingi na jeuri huku akijitapa kwa rafiki zake siwez kumuacha kwa sababu amenpa usichana wake, mambo yalivyozd kuwa mabaya nkapga chini.
 
duu h kali aise, et *mwanaume anampa mwanaume usichana wake* hahah
Unajua nyie ndio yale mashogwa mlioliwa weee mpaka mkawa mnaona kila mtu ni nyie basi siku yakiama ndio utajitambua kuwa wewe ni jinsia gani .
 
Back
Top Bottom