katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
Sasa wasipo pita njiani watapita wapi kwenye mawingu [emoji23] anyway nataniaUnakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
duu h kali aise, et *mwanaume anampa mwanaume usichana wake* hahah
Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Yaaani nimekosa Cha kucoment sito sahau nanenane yule dada anaenda vichakani na mlevi sijui huwa wanawaza Nini.....Kwanza nianze na nyie wadada. Kati age yenu ya ujana huwa mnakimbilia bad boys (mabaharia). Goodman wenye nia njema huwa mnawapiga chini.
Badboys wakishawaharib mnaanza kusema wnaume wote wabaya.. wabaya kivip wkt wale wema ulIwapiga chini kisa hawana swag.. hawajui fashion.. hawana muonekano kama wa wana muziki.
Uka mkimbilia mmuni mmoja kakutindua huko unakuja lalama.
Kwa wakaka napo. Kama unajua kabisa huyu dada sina future naye. Just dump her.. it is not worth it coz unavyomchezea na kumuacha na yeye ataingiwa na kisasi. Atafanyia wanaume wengine wenye nia.
Wengi wanaotolewa bikra nje ya ndoa hugeuka vicheche baada ya kuonja radha ya asali.Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Uko sahihi mkuu. Bahati mbaya kwa wadada, vijana wenye malengo ya muda mrefu hawana kipawa cha kuchana mistari mitamu. Wenye verse za kuvutia masikioni ni waharibifuKwanza nianze na nyie wadada. Kati age yenu ya ujana huwa mnakimbilia bad boys (mabaharia). Goodman wenye nia njema huwa mnawapiga chini.
Badboys wakishawaharib mnaanza kusema wnaume wote wabaya.. wabaya kivip wkt wale wema ulIwapiga chini kisa hawana swag.. hawajui fashion.. hawana muonekano kama wa wana muziki.
Uka mkimbilia mmuni mmoja kakutindua huko unakuja lalama.
Kwa wakaka napo. Kama unajua kabisa huyu dada sina future naye. Just dump her.. it is not worth it coz unavyomchezea na kumuacha na yeye ataingiwa na kisasi. Atafanyia wanaume wengine wenye nia.
Hiyo inatokana na wasichana wenyewe. Wakishatolewa basi wanakuwa HOT wanafungua njia sasa mtu unaona kuna haja gani ya kuendelea nae wakati hafit. Muda mwingine mnajisababishiaga wenyewe.Unakuta mwanamme anampa mwanaume uusichana wake ila sio mtu sahihi.
Mwanaume anakula tu nakusepa.
Hivi hii hali nikwanini hutokeaga hivyo??
Asilimia kubwa ni wapita njia??
Kweli naomba muongozo nitaanzaje kusemaPeleka malalamiko yako kwa makonda
Hadi Leo? Na ulikuwa unaringia nini..???Haya mimi nilipendwa nikapendwa ila maringo ndio yalinisababisha sijaolewa
Unajua nyie ndio yale mashogwa mlioliwa weee mpaka mkawa mnaona kila mtu ni nyie basi siku yakiama ndio utajitambua kuwa wewe ni jinsia gani .duu h kali aise, et *mwanaume anampa mwanaume usichana wake* hahah
Kuwa amenitoa haniachii sikuwa na mdhamini sikuwa namjali nilimuona kama zoba tu kwanza mfupi nikapeleke wapiila ilinicost sana kaoa kwingineHadi Leo? Na ulikuwa unaringia nini..???