PSL god JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 8,435 Reaction score 6,476 Oct 20, 2024 #321 Ushimen said: Kwahiyo mimi ambae sio mpole nakomenti wapi kwenye huu uzi...[emoji41][emoji41] Click to expand... Fake P 😁😁
Ushimen said: Kwahiyo mimi ambae sio mpole nakomenti wapi kwenye huu uzi...[emoji41][emoji41] Click to expand... Fake P 😁😁
The mission 2017 JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 1,748 Reaction score 3,229 Oct 20, 2024 #322 Inatakiwa kua makini nao saana, kwa sababu you will not know mwisho wa uvumilivu wao. Kuna demu nilikua nadate nae, akaanza kuleta vitimbwi ili kunipima, cha ajabu hata sikua na react japo nilikua na notice. Akashangaa tu sijibu sms wala kupokea simu, Ndo ikawa imetoka hyo. How comea mtu anatenda kosa ili aje aombe msamaha? Like seriously 😀
Inatakiwa kua makini nao saana, kwa sababu you will not know mwisho wa uvumilivu wao. Kuna demu nilikua nadate nae, akaanza kuleta vitimbwi ili kunipima, cha ajabu hata sikua na react japo nilikua na notice. Akashangaa tu sijibu sms wala kupokea simu, Ndo ikawa imetoka hyo. How comea mtu anatenda kosa ili aje aombe msamaha? Like seriously 😀
Namge JF-Expert Member Joined Oct 9, 2016 Posts 1,446 Reaction score 1,973 Oct 20, 2024 #323 Ushimen said: Mkuu, naona umechanganya wapole na wakimya...[emoji848][emoji848] Click to expand... Kuna watu wanachanganya Walpole Wakimya Wataratibu Mimi na fall kwenye watu wataratbu,but most of time watu hudhani mimi ni mpole,
Ushimen said: Mkuu, naona umechanganya wapole na wakimya...[emoji848][emoji848] Click to expand... Kuna watu wanachanganya Walpole Wakimya Wataratibu Mimi na fall kwenye watu wataratbu,but most of time watu hudhani mimi ni mpole,
THARKOMBO Member Joined Oct 17, 2024 Posts 36 Reaction score 60 Oct 20, 2024 #324 kwanini mna tuandafia wanawake/wanaume wazuri hawapendi pulukushani ndomaana unaambiwa ukitaka kizuri kuwa mpole
kwanini mna tuandafia wanawake/wanaume wazuri hawapendi pulukushani ndomaana unaambiwa ukitaka kizuri kuwa mpole