Hivi kwanini watu wengi wanahisi kila mwenye maambukizi ya HIV alifanya ngono?

Hivi kwanini watu wengi wanahisi kila mwenye maambukizi ya HIV alifanya ngono?

Sun is Sun

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
649
Reaction score
975
Unakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.

Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.

1739949023885.png
Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.

Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.

Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.

Maneno yangu ni hayo
 
Ni ukweli % kubwa unapatikana Kwa sexual intercourse.Ni mara chache sana huupata Kwa kuchangia vitu vya ncha Kali.Kuhusu kuchangia damu ni ngumu sana maana mchakato wa kuongezeka damu hospitali siyo rahisi upewe damu ya HIV
 
Ni ukweli % kubwa unapatikana Kwa sexual intercourse.Ni mara chache sana huupata Kwa kuchangia vitu vya ncha Kali.Kuhusu kuchangia damu ni ngumu sana maana mchakato wa kuongezeka damu hospitali siyo rahisi upewe damu ya HIV
Umesema asilimia kubwa, sio asilimia zote. Wataalamu wameishasema hizo njia nyingine za maambukizi, hakuna haja ya kuanza kubisha na kung'ang'ania njia moja.
 
Unakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.

Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.

Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.

Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.

Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.

Maneno yangu ni hayo
Umenena vyema sana,watu wanahukumu watu bila kujali mtu kapata HIV kwa vipi, Binadamu tuwe na huruma!
 
Unakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.

Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.

Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.

Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.

Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.

Maneno yangu ni hayo
ugonjwa wenyewe chanzo chake ni ngono, na ndio njia ambayo wengi wanaupata, hizo zingine ni kwa asimilia chache sana, ambazo zimepunguzwa kwa elimu iliyotolewa, kwahiyo njia kuu imebak moja ambayo hatusikii kutokana na utamu wenyewe kukaa pabaya
 
Back
Top Bottom