Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu juu ya hilo n kidogo sana, kwahivyo watu wanaweka imani zaidi kwenye ngono tu kama ndo chanzo pekee...Elimu inahitajika sana katika hilo. ✊️ nakusupport apo mkuuUnakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.
Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.
Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.
Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.
Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.
Maneno yangu ni hayo
Umenena vema Luv. Barikiwa mnoo.Ugonjwa hauna mwenyewe, leo utamsema mwenye maambukizi, mwaka ujao unapata cancer. Mtu akishapata matatizo, usimuongezee stress. Tuwe na huruma na kila mtu, hatujui kesho yetu. Tuifanye dunia, iwe sehemu salama ya kuishi.
Amen. cocastic 😘Umenena vema Luv. Barikiwa mnoo.
Mwezi uliopita jama alinipigia simu amemkuta mtoto wake anchezea syringes kwenye dustbin la jirani,nanzile syringe ni blood stained,akaniambia anampeleka hospitali kumuanzishia PEP,imagine Hugo dogo angekua na mzazi sio muelewa,dogo angekua anakaa na mfanyakazi wa ndani,unadhanj angejisumbua?Unakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.
Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.
Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.
Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.
Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.
Maneno yangu ni hayo
Ni wewe ndio unaamini wala miki siamini hivoUnakutana na mtu anaanza kumsema mwenzake huyo alikuwa mzinifu, Mara alikuwa na wanawake wengi maskini wakati mtu hajui hata K" inavyofanana.
Kuna wengine tuliupata kwa kushare vitu vyenye ncha kali, Kuna wengine tuliupata kwa kuhudumia wagonjwa, Kuna wengine tuliupata kwa kuongezewa damu, Kuna wengine tuliupata kwenye ajali, Kuna wengine ambao walizaliwa nao pia.
Leo nimeamua kuwasemea waliopata Hiv katika hali hizo, Na ambao wanapitia dhihaka mbalimbali kutoka kwa Wanadamu watakatifu na huku hao Wanadamu watakatifu wakiwaambia kwa kujiamini, Wewe ulikuwa malaya ndo maana upo katika hali hiyo.
Nawapa ushauri hakikisheni mnawashauri watoto wadogo madhara ya kushare vitu vyenye ncha kali. Maana kuna case za kutosha kuhusu hii njia.
Narudia tena nyie Wanadamu punguzeni kuhukumu watu.
Maneno yangu ni hayo
Tatizo linaanzia kwenye jamii ya watz ni mambululaaaa .Hii nchi watu wanishi kiholelaholela, sheria hazifatwi.Mwezi uliopita jama alinipigia simu amemkuta mtoto wake anchezea syringes kwenye dustbin la jirani,nanzile syringe ni blood stained,akaniambia anampeleka hospitali kumuanzishia PEP,imagine Hugo dogo angekua na mzazi sio muelewa,dogo angekua anakaa na mfanyakazi wa ndani,unadhanj angejisumbua?
Unakaa na mfanyakazi wa ndani,hujui hali yake,anapiga miswaki yote Kabaka ya ninyi kuamka,kiwembe anachonyolea "Pubic hair",mtoto wake anachongea penseli.
Shukuru kwa hali uliyonayo,na tuache kuhukumu
Ndo akili yako ilipoishia?Ugonjwa huu umekaa pabaya...🤣
Mwisho wa kunukuu
We great thinker umegundua nini zaidi ya kupiga dili ya kumuibia boss wako?Huyu nae ni great thinker...
Hebu ncheke mie....kie..kie..kie.ee
Makasiriko ya nn,jiwe limetua wapi kwani?We great thinker umegundua nini zaidi ya kupiga dili ya kumuibia boss wako?