Hivi kwanini wauzaji vipuli wa Bongo ni washamba kiasi hiki!?

Mfanya biashara ananunua mali kufuatana na soko. Sasa kama magari yenyewe ni machache kwa nini utumie pesa nyingi kuagiza spare ambayo itakaa dukani miaka mitano au sita bila kununuliwa. Unanuanua bidhaa insayotoka kwa haraka. Hiyo ndiyo biashara. Kununua bidhaa isiyotoka ni huduma!
 
Unatafuta spea gani boss?
 
Mleta mada ni muongo na mzushi tu, Honda na Toyota wanaingiliana vitu vingi sana,tunamuuliza anatafuta nini kala kona,
Yaani anatafuta spea ambayo haina jina?
 
Hatuna muda na spea ya gari ya kijinga ,, try again later
 
Hatuna muda na spea ya gari ya kijinga ,, try again later

Hapa ndo utakuwa unamprove right, ndo ushamba wenyewe huu. Honda ni moja ya brand zinazokubalika mbele huko, Europe, US na Australia haswa CRV, Accord etc. Sawa sawa na Mazda CX 3, CX 5, CX 9,Hyundai (hasa tucson na santafe), KIA hasa Sorento. Hizi zote huku kwetu ni adimu

Kama hoja ni low demand inaeleweka kabisa, ila Honda sio gari ya kijinga
 

We hela huna bana unatusumbua si uagize
 
Usimchakaze mwenzio maksudi!! huo ni ushetani, alete sasa atamuuzia nani? vigari venyewe vinavyo hitaji hizo spare ni vitatu jiji zima sasa mpka viharibike ni leo????!!

lkn pia mleta mada ni mjinga utanunuaje gari ambalo upatikanaji wa spare ni janga kwa Tz? hana akili nadhani huyu!! au eti unanunua gari inayo tumiapetrol ya blue mweee!!! hivi shangingi nalo ni la kimaskini???
 
Daaa!! nadhani wewe km shule ni divisio zero plus!! sasa sisi ni tawi la hayo manchi uloyatamka??? ukitaka kuendesha hayo magari ka kae huko!!!!! Pasport tutakupa bure lkn ukija hapa fuata yetu utake usitake utapanda trekta mjini!!! hkn shida!!

hatutaki kuliliwa shida bwege wee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…