Yule alikuwa monalisa,Ni mwigizaji wa filam, bongo movie aliigiza girlfriend na kina t.i.d kama sikosei!
hahahahahaNi msanii wa bongo movie....
Kujua movie yake ya mwisho download app yake uone... (itabidi anilipe kwa promo hii)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni msanii wa bongo movie....
Kujua movie yake ya mwisho download app yake uone... (itabidi anilipe kwa promo hii)
Halafu wewe ulinisababishia mafuriko pm ujue????hahahahaha
Inamaana mkuu ujawahi kuona filamu za wemaHabarini Wakuu,
Huwa ninawashangaa sana wale wote wanaomwita Wema Sepetu kuwa ni "Msanii Maarufu"
Najiuliza ni Msanii maarufu katika tasnia ipi?
Aliigiza filamu ya mwisho lini?
Aliwahi kutoa single au Album ya nyimbo ipi na lini?
Kwanini anaitwa Msanii maarufu?
Huo sasa ni Usanii kweli.Mtu anakwambia amewekeza bilioni saba kwenye biashara ya vipodozi na kununua nyumba ya zaidi ya shilingi milioni 200 halafu akadakwa akiiba umeme na maji kisha akafukuzwa na mwenye nyumba bado tu hujaona ni usanii huo?
Ni msanii wa bongo movie....
Kujua movie yake ya mwisho download app yake uone... (itabidi anilipe kwa promo hii)
[emoji15]Ni mwigizaji wa filam, bongo movie aliigiza girlfriend na kina t.i.d kama sikosei!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Mtu anakwambia amewekeza bilioni saba kwenye biashara ya vipodozi na kununua nyumba ya zaidi ya shilingi milioni 200 halafu akadakwa akiiba umeme na maji kisha akafukuzwa na mwenye nyumba bado tu hujaona ni usanii huo?