Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Si kama akina kim kadarshian huko mbele kila mtu ndio role model wake wakati umaarufu wake ni kwenye video ya ngonoMi mpaka Leo sielewi na sioni kitu kinachofanya watu wanachanganyikiwa kwa huyu mdada hivi..
Mpaka mtu anafikia kusema ndio role model wake.
Ndivyo ilivyo kila mtu kazaliwa na bahati yake so ukiitumia vyema inaweza ikawa faida kwako ukitumia vibaya itakuletea athar,kuna watu wanampenda adolph hitler pmj na maovu yote aliyoyafanya duniani kwa kuuwa jews 6 mils,kuna watu wanampenda scorpion na ukatili wake wote ule,kuna vitu vinapendwa with no reason huu ndio uumbaji wa bwana MunguSina maana ya kumchukia Wema Sepetu, ila navyomona ni mtu wa kawaida tu kama wengine, kuna mastaa kibao bongo wanaofahamika kwa kazi zao na wanapendwa kawaida tu.
Sasa linapokuja suala la Wema naonaga anapendwa kwa jinsi alivyo tu kiasi kilichopitiliza..
Najiona tofauti sana, Hivi Wema mnampendea nini??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Me kasauti kake tu ananikosha kwakweli akiwa anahijiwa kama naangalia kipinde dushe yangu huwa inakua na wakati mgumu sana
Ni watu wa huko kwao ndo wanampenda na watu kariba yake....honestly to me hana kila kitu above all ni empty box....Mi mpaka Leo sielewi na sioni kitu kinachofanya watu wanachanganyikiwa kwa huyu mdada hivi..
Mpaka mtu anafikia kusema ndio role model wake.
kwani mzungu ana nini cha ajabuNi wa uswaz mwenzetu ingawa mwenyewe anajiona mzungu.
Sina maana ya
kumchukia Wema Sepetu, ila navyomona ni mtu wa kawaida tu kama wengine, kuna
mastaa kibao bongo wanaofahamika kwa kazi zao na wanapendwa kawaida tu.
Sasa linapokuja suala la Wema naonaga anapendwa kwa jinsi alivyo tu kiasi kilichopitiliza..
Najiona tofauti sana, Hivi Wema mnampendea nini??
kifupi, wema ni mama hurumaWema anapendwa kwasababu moja kuu..ana kuwa na SKENDO/KASHFA nyingi za mapenzi na anaziruhusu zijulikane.
Akitulia akaacha hizi skendo-skendo za mapenzi, KAMWE wanaompenda hawawezi kumpenda.
Kwaiyo ili azidi kupendwa lazima apore bwana wa mtu.. lazima atembee na mume fulani.. lazima amnyakue kigogo fulani.. lazima kuwe na fumanizi linalomuhusu nk nk.
Tuwe wakweli, habari nyingi za namna hii ndio watu wengi wanazipenda.
Lakini let's say Wema atulie tuli.. Hakuna atakaempenda.
Vimbwanga na hasa kashfa nyingi za Mapenzi ndio zinamfanya apendwe.
Hahahaaa ww dadaDiamond mwenyewe 40 ya mwanae haikuwa na kiki wala hakuna aliekuwa na habari kama ipo u haipo akaona noma kaingia na gia ya kumualika wema now mitandao imefahamu kuwa Diamond ana tukio, kwa nini Wema katajwa.. anapendwa kwa kuwa anapendeka ukimpenda hana hiyana hana nyondo ana show love.
Why waste your energy kumchukia mtu unayemfahamu through media? Amechagua fungu lake na ndivyo aishivyo. Mlee mwanao kwa maadili pia ukimwomba Mungu amsimamie. Usidhani waliopotoka wote, wazazi wao wamehusika. A child is an individual and so aweza kuwa mtu ambaye hukumtarajia baadaye. Let her be, this Wema chick. Maisha yake yanakuathiri vipi?anapendwa na nani binafsi aitaki hata kumuona
binti yangu asione hata picha yake
kinachonikera ni sauti yake yaani nikimsikia naweza kutapika
nachukia anavyoendesha maisha yake kwa media
nachukia anavyolambalamba mate ya wanaume
nachukia kwasababu mpaka muda huu anajiona mtoto wa secondary kumbe ni mzee tayari...........
unauhakika namfahamu kwa media ................. ur very wrong instead dont waste ur energy kuwazia mambo ambayo si ya kweli........Why waste your energy kumchukia mtu unayemfahamu through media? Amechagua fungu lake na ndivyo aishivyo. Mlee mwanao kwa maadili pia ukimwomba Mungu amsimamie. Usidhani waliopotoka wote, wazazi wao wamehusika. A child is an individual and so aweza kuwa mtu ambaye hukumtarajia baadaye. Let her be, this Wema chick. Maisha yake yanakuathiri vipi?