Hivi kwanini Wema anapendwa?

Hivi kwanini Wema anapendwa?

77e2edf7c25c659eb63045527dccba76.jpg
 
Huwa sielewi watu wazima kabisa wanaposema Wema ana Nyota kali wakati tunajua skendo na matukio ndio zinafanya awe anasikika.
Nyota ya kazi gani ikiwa projects na biashara zinaanguka?Unasemaje kuwa Diamond anatafuta kiki kwa Wema wakati Diamond anafahamika internationally na Wema mwisho Uganda na Kenya?How?
Neno Kiki linatumika vibaya.
 
Huwa sielewi watu wazima kabisa wanaposema Wema ana Nyota kali wakati tunajua skendo na matukio ndio zinafanya awe anasikika.
Nyota ya kazi gani ikiwa projects na biashara zinaanguka?Unasemaje kuwa Diamond anatafuta kiki kwa Wema wakati Diamond anafahamika internationally na Wema mwisho Uganda na Kenya?How?
Neno Kiki linatumika vibaya.
kwakweli[emoji23]
 
Wema anapendwa kwasababu moja kuu..ana kuwa na SKENDO/KASHFA nyingi za mapenzi na anaziruhusu zijulikane.

Akitulia akaacha hizi skendo-skendo za mapenzi, KAMWE wanaompenda hawawezi kumpenda.

Kwaiyo ili azidi kupendwa lazima apore bwana wa mtu.. lazima atembee na mume fulani.. lazima amnyakue kigogo fulani.. lazima kuwe na fumanizi linalomuhusu nk nk.

Tuwe wakweli, habari nyingi za namna hii ndio watu wengi wanazipenda.

Lakini let's say Wema atulie tuli.. Hakuna atakaempenda.

Vimbwanga na hasa kashfa nyingi za Mapenzi ndio zinamfanya apendwe.

Wewe ni mtu wake Wa karibu au?! Maana unatoa shutuma nzito kwa information za tabloids na umbea tu naona
 
\

anapendwa na nani binafsi
sitaki hata kumuona




binti yangu asione hata picha yake

kinachonikera ni sauti yake yaani nikimsikia naweza kutapika
nachukia anavyoendesha maisha yake kwa media
nachukia anavyolambalamba mate ya wanaume
nachukia kwasababu mpaka muda huu anajiona mtoto wa secondary kumbe ni mzee tayari...........

The Lord will heal ur soul from jelousy.. nimesoma comment yako ila yani the hate energy uliyotumia nimeihisi
 
Think tanks wa global publishers waliamua iwe hivyo ili wamtumie kutengeneza hela...ulimwengu wa media ni wa kishetani sana,unaweza kuamua nini jamii iongelee na kwa wakati gani refer to a shift from sakata la njaa to sakata la unga!
 
The Lord will heal ur soul from jelousy.. nimesoma comment yako ila yani the hate energy uliyotumia nimeihisi
Dont waste ur time si lazima kila mtu ampende huyu malaya mbwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] ptyuuuuuu namchukia kwakweli boguz hana faida yoyote alizaliwa kwa ajili ya kukazwa tu na kila mwanaume anayepita mbele yake mpaka aingie sita futi ardhini tehetehe na ile sauti woiii GOD FORBID[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]



zarina beautiful with brains........
 
Waulize wabunge hasa wa CCM watakueleza kwa nini anapendwa na mchango wake kwenye awamu hii.
 
Sina maana ya kumchukia Wema Sepetu, ila navyomona ni mtu wa kawaida tu kama wengine, kuna mastaa kibao bongo wanaofahamika kwa kazi zao na wanapendwa kawaida tu.

Sasa linapokuja suala la Wema naonaga anapendwa kwa jinsi alivyo tu kiasi kilichopitiliza..

Najiona tofauti sana, Hivi Wema mnampendea nini??

TAKUWA TU NI MTU MUUNGWANA INGAWA SIMFAHAM, ILA MTU MUUNGWANA, MUELEWA NA OPEN MINDED HUWA ANAPENDWA TU
 
Dont waste ur time si lazima kila mtu ampende huyu malaya mbwa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] ptyuuuuuu namchukia kwakweli boguz hana faida yoyote alizaliwa kwa ajili ya kukazwa tu na kila mwanaume anayepita mbele yake mpaka aingie sita futi ardhini tehetehe na ile sauti woiii GOD FORBID[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]



zarina beautiful with brains........
Too much hate bwana why? Si umpende tu zarina no one is perfect under the sun usipokuwa muhhuni basi msengenuaji, mwenye husuda, no duniani hatuwezi kuwa sawa hata vidole havifanani, sasa wote wakiwa wako njema upstairs wasio jielewa watakuwa kina nani? Aliye msafi ndo awe wa kwanza Ku hukumu kuna watu tabia mbovu sema tu hawajulikani.
 
Too much hate bwana why? Si umpende tu zarina no one is perfect under the sun usipokuwa muhhuni basi msengenuaji, mwenye husuda, no duniani hatuwezi kuwa sawa hata vidole havifanani, sasa wote wakiwa wako njema upstairs wasio jielewa watakuwa kina nani? Aliye msafi ndo awe wa kwanza Ku hukumu kuna watu tabia mbovu sema tu hawajulikani.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
namchukia kwakweli.......
 
Kweli kuna kipindi Sinta alikuwa maarufu kwenye vyombo vya habari! Lakini alipoturia nadhani hata vijana waliozaliwa juzi hawamtambui kabisa kama kuna Star wa filamu alikuwa anaitwa Sinta!
Wema anapendwa kwasababu moja kuu..ana kuwa na SKENDO/KASHFA nyingi za mapenzi na anaziruhusu zijulikane.

Akitulia akaacha hizi skendo-skendo za mapenzi, KAMWE wanaompenda hawawezi kumpenda.

Kwaiyo ili azidi kupendwa lazima apore bwana wa mtu.. lazima atembee na mume fulani.. lazima amnyakue kigogo fulani.. lazima kuwe na fumanizi linalomuhusu nk nk.

Tuwe wakweli, habari nyingi za namna hii ndio watu wengi wanazipenda.

Lakini let's say Wema atulie tuli.. Hakuna atakaempenda.

Vimbwanga na hasa kashfa nyingi za Mapenzi ndio zinamfanya apendwe.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
namchukia kwakweli.......
Mpuuzie tu usijipata maradhi bure mi mwenyewe alikuwa ana kera ila kuna vtu namkubali. Hata cjui ni kwanini?
 
Back
Top Bottom