Hivi kweli dawa ambazo pharmacy nauziwa sh8000, nikiwa mwanachama wa NHIF sizipati hospitalini?

Hivi kweli dawa ambazo pharmacy nauziwa sh8000, nikiwa mwanachama wa NHIF sizipati hospitalini?

Laswell

Senior Member
Joined
Feb 23, 2024
Posts
144
Reaction score
191
Salaam kwenu, Jana nilienda kwenye kituo flani Cha afya(private) nikiwa na kesi ya vipele kwenye ngozi.

Baada ya maelezo yangu daktari aliniandikia dawa za aina 3 ila akasema hawezi kunipa za siku 14 kwani Serikali hairuhusu hivyo akaniandikia siku7.

Wakati anaandika akadai kuwa itabidi niongezee pesa kidogo huko kwa mhasibu kwani bima yangu hailipi hizo dawa zote.

Kweli nilipofika kwa mhasibu nilitakiwa kuongeza elfu4 ili nipeee dawa hizo ambazo ni; doxy, amplicox na nyngn yakupaka.

Najiuliza, kama kweli hizi dawa zimeshindwa kulipiwa na bima yangu,itakuwaje nikipata kesi inayohitaji matibabu makubwa zaidi? Au hii issue nimaamuzi tu ya baadhi ya hospital?
 
Ngoja wataalamu waje, nakumbuka hata mimi nilienda hospital moja ya private niliwaambia naitaji na dawa za minyoo wakanipa dozi moja tu wakati ilitakiwa nipewe za siku tatu ikabidi niulize kwa nn nipewe moja wakaniambia bima hairuhusu sasa nikashindwa kuelewa hichi kitu kwakweli.
 
Salaam kwenu, Jana nilienda kwenye kituo flani Cha afya(private) nikiwa na kesi ya vipele kwenye ngozi.Baada ya maelezo yangu daktar aliniandikia dawa za aina3 ila akasema hawezi kunipa za siku14 kwani serikali hairuhusu hivyo akaniandikia siku7.Wakati anaandika akadai kuwa itabidi niongezee pesa kidogo huko kwa mhasibu kwani bima yangu hailipi hizo dawa zote. Kweli nilipofika kwa mhasibu nilitakiwa kuongeza elfu4 ili nipeee dawa hizo ambazo ni; doxy, amplicox na nyngn yakupaka. Najiuliza, kama kweli hizi dawa zimeshindwa kulipiwa na bima yangu,itakuwaje nikipata kesi inayohitaji matibabu makubwa zaidi? Au hii issue nimaamuzi tu ya baadhi ya hospital?
Mkuu save pesa za kujitibu mbeleni bima ya NHIF, sio bima ya kutegemea kabisa, inatibu ungonjwa wa kawaida sanaa.
 
Salaam kwenu, Jana nilienda kwenye kituo flani Cha afya(private) nikiwa na kesi ya vipele kwenye ngozi.Baada ya maelezo yangu daktar aliniandikia dawa za aina3 ila akasema hawezi kunipa za siku14 kwani serikali hairuhusu hivyo akaniandikia siku7.Wakati anaandika akadai kuwa itabidi niongezee pesa kidogo huko kwa mhasibu kwani bima yangu hailipi hizo dawa zote. Kweli nilipofika kwa mhasibu nilitakiwa kuongeza elfu4 ili nipeee dawa hizo ambazo ni; doxy, amplicox na nyngn yakupaka. Najiuliza, kama kweli hizi dawa zimeshindwa kulipiwa na bima yangu,itakuwaje nikipata kesi inayohitaji matibabu makubwa zaidi? Au hii issue nimaamuzi tu ya baadhi ya hospital?
Pole kwa changamoto. Shida ninayoiona hapa ni baadhi ya vituo vya afya kushindwa kutoa elimu ya kutosha kuhusiana na huduma za bima

Hapo kuna scenario 3
1. Kwenye utoaji wa baadhi ya dawa, sio vituo vyote vya afya vinaruhusiwa, NHIF wametuoa ruhusu kulingana na grade ya kituo cha afya
2. Kwa mfumo wa NHIF, kuna hatua za kufuata ili kuweza ku upgrade dose ya mgonjwa, mfano hawaruhusiwi kukupa dose ya Juu kabla hii ua chini haijaitumia (labda kama uwe kwenye critical condition and only option ni kukupa dose ya Juu)
3. Option nyingine, ni kuwambia watoa huduma kama dawa hizo hawana au hawaruhusiwi kutoa, basi wanapaswa wakupe form ambayo itakuwezesha kupata hiyo dawa kwa kwenda kwenye pharmacy zinazopokea NHIF
4. Grade ya card za NHIF haziringani, so inawezekana bima yako ni grade ya chini ambayo haina vigezo vya kupewa dawa inayozidi kiasi fulani.

NB: Mimi sio mfanyakazi wa NHIF na wala sijatumwa, sema ni mtu wa ku seek information muhim
 
Bima hii ni Chaka la kuiba pesa za watanganyika kwajili y uchaguzi w ccm.
 
Pole kwa changamoto. Shida ninayoiona hapa ni baadhi ya vituo vya afya kushindwa kutoa elimu ya kutosha kuhusiana na huduma za bima

Hapo kuna scenario 3
1. Kwenye utoaji wa baadhi ya dawa, sio vituo vyote vya afya vinaruhusiwa, NHIF wametuoa ruhusu kulingana na grade ya kituo cha afya
2. Kwa mfumo wa NHIF, kuna hatua za kufuata ili kuweza ku upgrade dose ya mgonjwa, mfano hawaruhusiwi kukupa dose ya Juu kabla hii ua chini haijaitumia (labda kama uwe kwenye critical condition and only option ni kukupa dose ya Juu)
3. Option nyingine, ni kuwambia watoa huduma kama dawa hizo hawana au hawaruhusiwi kutoa, basi wanapaswa wakupe form ambayo itakuwezesha kupata hiyo dawa kwa kwenda kwenye pharmacy zinazopokea NHIF
4. Grade ya card za NHIF haziringani, so inawezekana bima yako ni grade ya chini ambayo haina vigezo vya kupewa dawa inayozidi kiasi fulani.

NB: Mimi sio mfanyakazi wa NHIF na wala sijatumwa, sema ni mtu wa ku seek information muhim
Umenifafanulia vizuri mkuu. Bima yangu sijajua nindogo kiasi gan ila nishawahi kupata matibabu ya zaidi ya milioni 1 miaka yanyuma. Baada yakuonyesha mshangao wangu yule dokta alinambia hayo nimabadiliko Mapya ambapo hata mtu aliyevunjika mguu zamani alikuwa analipiwa laki6 ila saivi anapewa laki2.5 zngn ataongezea mgonjwa mwenyew
 
Back
Top Bottom