wakuu bila kupoteza muda nomba niweke mtazamo wangu hapa naruhusu kukosolewa
Huyu kijana toka ametoka kundini kabadilika kwa Mambo mengi sana ambayo kimsingi yanaua mziki wake
Ipo ivi alipo kua anatoka WCB alishawishiwa na watu wenye nia ya kufanya nae kazi wakiwa na imani watafaidika kulingana na umaarufu na mafanikio aliyo jozolea mwaka 2019 hapa kilicho tokea ni yeye kujiona mkubwa sana na hiki ndicho kilichopo kwenye habari za chini chini kua anakiburi na dharau kwa manager wake uyu anae jiita jembenijembe na uyo mwingine anae jiita mjerumani ni mtu wa kupenda ubinafsi sana hapa tayari anatengeneza mkanganyiko kwa watu muhimu walio nyuma yake na hii kitu inashusha muziki wake
Mapenzi ya mashabiki alivyo ondoka Cristian Ronald real Madrid aliondoka na kundi kubwa sana la mashabiki walio unfollow page ya real Madrid na ku follow page ya Juventus hii ni kwasababu ya mapenzi na ushawishi wa Ronald nirudi kwa msanii HARMONIZE yeye Kama yeye hakuwa na ushawishi mkubwa sana kuliko diamond plutnumz ko kuondoka kwake kundini si kwamba kaondoka na idadi kubwa sana ya mashabiki hapana hivyo yy Kama yy kapoteza idadi kubwa ya watu waliokua wanampenda diamond na mapenzi yao kuhamishia kwa wasanii wake akiwemo HARMONIZE ko kijana kapoteza kundi kubwa mno hivyo kusababisha kuyumba kimziki
Matarajio clouds tv & radio efm radio &etv walitarajia kua ndio wamefanikiwa kupata mtu wakumpoteza diamond plutnumz hivyo wakaanza kuhamishia majeshi kwa HARMONIZE ili amshushe mondi Kama mjuavyo clouds ni wazee wakusoma upepo wameona kwa mmakonde akuna kipya cha kumtingisha mondi wamepunguza majeshi yao ata yule dada wa ala za roho atapoa tu na yeye
Efm wenyewe sizani Kama wataendelea kutumia nguvu nyingi tena kwa mamakonde Kama walizo tumia kwenye show yake ya mtwara kwao
WCB wao wanajitahidi sana kusaport wasanii wao na ku wa brand leo hii ndo matokea haya tunayo yaona
Diamond plutnumz
Reyvan
Mbosso
Lavalava
Qeen dareen
Mama dangote
Esma
Na wengine wengi sana wana support kazi za wasanii wao
Uje kwa HARMONIZE
Yeye anao
Jembe ni jembe
Mjerumani
Clouds
Efm
Josemipango
Chopa na wengine wengii
Ukiangalia kwa HARMONIZE clouds bado wanataka utawala hivyo awawezi muacha awe mtawala
Efm wako busy na singeli zao
Mjerumani jembe ni jembe chopa Jose wa mipango sio wakubwa sana kusema wana mchango mkubwa sana kwa HARMONIZE
Mwazo alipo jitoa ametembelea nyota aliyo toka nayo saizi anarudi kwenye uhalisia wa maisha yake bila WCB
Maisha yake ndo aya 1m anatafuta kwa wiki moja adi miezi na collaboration na mtu Kama mr izy
Sent using
Jamii Forums mobile app