Ndiyo vizuri watapata akili bila changamoto hawawezi kupiga hatua, (mtoto akililia wembe mpe)Yaani kisa tu ni haki ya znz kama nchi. Timu ambayo inafungwa hata na timu ya mitaani kwangu Karagwe.
Kwahiyo JKU inajiona kwasasa ipo juu kuliko Simba ambayo ipo Shirikisho.
SIASA HIZI!!!!
Sidhani wana hilo wazo la kukua kisoka na kufanya vizuri. Yaani wao fahari yao ni kutambulika tu kama nchi. Ndio maana hata wafungwe goli 20 hawaumiiHata mchicha ulianza kama mbuyu, wacha wacheze watazidi kukua na kuimarika.
Wanadhalilisha nchiYaani kisa tu ni haki ya znz kama nchi. Timu ambayo inafungwa hata na timu ya mitaani kwangu Karagwe.
Kwahiyo JKU inajiona kwasasa ipo juu kuliko Simba ambayo ipo Shirikisho.
SIASA HIZI!!!!
Kufungwa ni ishu ya uwezo, hata simba na yanga tulitoka huko kwenye kufungwa goli nyingi. Sio kupenda kwetu ilikuwa ni kuzidiwa uwezo.Sidhani wana hilo wazo la kukua kisoka na kufanya vizuri. Yaani wao fahari yao ni kutambulika tu kama nchi. Ndio maana hata wafungwe goli 20 hawaumii
Hasa nchi yao ya znzWanadhalilisha nchi
Wanachezea za uso miaka yote kwa kujisalimisha kwa maadui.Watakuwaje wakubwa pasipo kuchezea za uso? Waache wachezee za uso ili wakomae komae ndio ukubwa
Wenye nia ya kukua huonekana tu.Hamna kitu hapo.Hata mchicha ulianza kama mbuyu, wacha wacheze watazidi kukua na kuimarika.
Pyramids sio timu ya mtaani mkuu,kama ulikusudia pyramids.Yaani kisa tu ni haki ya Zanzibar kama nchi. Timu ambayo inafungwa hata na timu ya mitaani kwangu Karagwe.
Kwahiyo JKU inajiona kwasasa ipo juu kuliko Simba ambayo ipo Shirikisho.
SIASA HIZI!!!!
Nilimaanisha JKUPyramids sio timu ya mtaani mkuu,kama ulikusudia pyramids.
Maana hata kihistoria pyramids ina historia kubwa ki CAF kuliko simba na Yanga.
JKU si alicheza na pyramids kaka?Nilimaanisha JKU
Nchi Gani... Zanzibar ni nchi.Wanadhalilisha nchi
Kuna wabaguzi kuliko nyie. Hata nipewe milioni 500 nikaishi huko mwaka mmoja nitakataa. Kama wewe ni wa kule basi huna haki ya kuzungumza neno UBAGUZIHuu ni ubaguzi
Watakuwa ngoja utawaona baada ya misimu mitano mbeleWenye nia ya kukua huonekana tu.Hamna kitu hapo.
Acha waiwakilishe nchi yao ya Zanzibari, Wewe unataka Wazanzibar wawakilishwe na timu gani mkuu
Wenyewe hawana hiyana.Ilimradi wameingia tu kwenye historia kwamba walicheza ligi kubwa Afrika.Ntoshaaaa!😂Nchi Gani... Zanzibar ni nchi.
Wenyewe hawana shida.
Hamna kitu.Hawapendi kujifunza wala kuiba na kuiga mema.Watakuwa ngoja utawaona baada ya misimu mitano mbele