Hivi kweli kuna watu wanapiga hela online? Mimi naona kama uzushi tu!

Mkuu bado una blog
 
unawazungumziaje wakina ontario , elikana fx , kina john jackson succes, mkuu mona washkaji wako vizuri na walikuja hapa bongo kupiga lecture halafu kuna wale wanaoitwa 255millionaire forex wao mbona wameweza?
 
Duu. Kwa hiyo mkuu unajua kila kitu kuhusu forex? We ni noma. HONGERA ZAKO
 
Kazi za kitapeli ndio kazi za wavivu. Hzo forex na affiliate marketing zina utapeli mwingi. Online pesa ipo ila inahitaji dedication na skills. Sio kulala na kutengeza pesa.

Kma unaona ni kazi rahisi tu jaribu kuchukua gig ya kutengeneza Mobile app for Android & iOS kwa $1500 na dedline ya ndani ya mwezi alafu uone kma utatoboa kma ni kazi ya wavivu. Ila wapo watu wanafanya hzo kazi online za kihalali na wanapata hela vizuri tu. Sio kila hela online ni rahisi. Zilizo rahisi ndio utapeli.

Tatzo tunategemea kuingia tu kwenye haya mambo leo na kesho kutengeneza mahela. Hyo kitu haipo. Hata kwenye forex, affiliate marketing na Bitcoin kuna watu wanaotapeli wenzao na ndio wavivu. Ila kuna watu wanaozielewa vizuri ndio wanapiga hela.
 
Kuna best yangu mdada kanambia habari hizi jpili i just brushed her away, it sounded with too much of yanga-sliperly i mean utopoloz
 
Mze muache tuu😆 maana hat ukodishe spika hatakuelewaa!!
 
Loss zipo hatukataii, Ila Kuna money management labd we ulikua hujuii kufany hii kitu vzurii
 
Information is the single greatest asset in this era,a friend of mine who is Bible scholar often says,"without knowledge my people will perish".Today I think many people are perishing they are without knowledge about money
-Information is the single greatest asset in this era which you can use it to achieve your wildest dream.....
 
Pamafinds iko vipi sijaipataa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
online kuna watu wanapiga hela kaka kuna watu wana page za umbea tu kama kina Carry mastory na ndio zinawaweka Mjini kazi yao ni kushinda instagram na kutafuta habari za umbea tu wanapiga hela kupitia matangazo, pia kuna watu wanapiga hela kupitia kufanya udalali tu wa vitu au kuuza vitu vyao wao wanakuwa kama Link kati ya muuzaji na mnunuzi lakini wanapiga hela mkuu, Tatzo hapo linakuja katika Mindset Ni kwamba wengi wanaoingia katika Forex hawafanyi self learning ya kutosha Kwanza na wanaishia kuwasikiliza Mabroker wanaojiita Nyangumi wa Forex na kuishia kupigwa, Forex ile ni biashara kama zingine lakini inahitaji Kusoma kwa kipindi kirefu na kuielewa sana ndipo utaanza kuona matunda na nikwambie tu chunguza kwa makini watu wanaojifanya Kupiga hela kupitia Forex ndio wanaongoza Kupigwa vitu vizito.

Yote kwa yote Pesa sio rahisi, unahitaji sacrifice za kutosha , sleepless nights na uwe Fully committed na unachofanya
 
Kwahiyo wewe online unajua ni betting na forex tu? [emoji23][emoji23]

Kijana uko nyuma sana, online hela zipo nyingi tu. Usiishi kwa kukariri!
Ingekuwa ni vyema hapa hizo online opportunities
 
Njia za kupata pesa online ni ngumu sana kuliko kutumia njia za kujishughulisha kawaida,
Kijana atashughulika na biashara zake atakua na maendeleo makubwa sana huyu wa online kila siku anapoteza muda kwenye bahati na sibu
 
Njia za kupata pesa online ni ngumu sana kuliko kutumia njia za kujishughulisha kawaida,
Kijana atashughulika na biashara zake atakua na maendeleo makubwa sana huyu wa online kila siku anapoteza muda kwenye bahati na sibu
Kupata hela online hakupaswi kuchukua muda wako mwingi wa kutafuta pesa kwa njia za kawaida, inapaswa uwe muda wako wa mapumziko. Kama una mshahara wa laki moja, hakikisha hautumii zaidi ya elfu tano kwenye uwekezaji au utafutaji pesa mtandaoni.
 
Habari,
Video Subtittling ni moja Soft Skills ambayo inahitajika sana katika majukwaa ya kazi za mtandaoni (Freelancing Platforms), kwa anayehitaji kuanza Skills hii ya video Subtittling nimeandaa training fupi na rahisi Zaidi kuelewa.



Mafunzo utalipia 20,000 TZS pesa ambayo ukiipata Skills hii utaweza kuipata ukifanya video ya lisaa limoja tu Upwork, au kwenye Agency.

Kutokana na Tangazo langu la mwanzo baadhi ya wadau waliomba Training iwe online maana hawatakuwa na muda, nimejaribu kuandaa lessons kupitia Telegramu Group nimejitahidi kuelezea kwa urahisi sana na kwa Kiswahili.

WhatsApp Group



Lesson zipo mbili
1) Kuweka Subtittles kwenye video
2) Kusevu Subtittles kwenye video (Burning)

Nimeelekeza Software Tools ambazo unatakiwa kuwa nazo na jinsi zinavyofanya kazi.

Lesson 01 (Outlines)
*Jinsi ya kuweka video kwenye program
*Jinsi ya kuandika Subtittles
*Jinsi ya kuediti Subtittles (Font & Location)
*Jinsi ya kuseti muda (Start & End time)
*Work concistency

Lesson 02:
Baada ya kutengeneza Subtittle yetu tutaangalia jinsi ya kuiunganish video na Subtittles kwa kutumia Software tool husika.

Training yote nimeshaiandaa kwenye TELEGRAM GROUP mafunzo haya ya Skills hii ya Video Subtittling ni 20,000 Tzs tu ukipitia maelekezo na lessons zote utakuwa na uwezo wa kuweka subtitle kwenye video yeyote Duniani iwe Nyimbo, movie, iwe slow iwe speed.



NI PM FOR IT
 
Njia za kupata pesa online ni ngumu sana kuliko kutumia njia za kujishughulisha kawaida,
Kijana atashughulika na biashara zake atakua na maendeleo makubwa sana huyu wa online kila siku anapoteza muda kwenye bahati na sibu
Offline unahitaji kuwa na mtaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…