Hivi kweli maandishi yote kwenye Bibilia yaliandikwa kwanza kwenye nawe na iliwezekana?

Kwanza unatakiwa uelewe Bibilia ni collection ya vitabu tofauti tofauti sio kitabu kilichoandikwa na mwandishi mmoja hivyo usishangae hayo maandishi ya muandishi mmoja mmoja kutunzwa kwenye ngozi kama ulivyosema.
 
Achana na hadithi zisizo na kichwa wala miguu.

Biblia na Quran hazina tofauti na hekaya za Abunuwasi au riwaya za Alfu Lela ulela
 
Tangu mwanzo,

BIBLIA imetunzwa Kwa msaada wa Roho mtakatifu.

BIBLIA ni Neno la Mungu, yaani logos.

Tangu enzi na enzi, Roho mtakatifu ndiye amekuwa kiongozi wa mitume na manabii wake kuandika na kutunza neno la Mungu Kwa namna mbalimbali.

Utaona baadhi ya vitabu viliandikwa kwenye gombo, vingine Roho mtakatifu kupitia Malaika, atashuka na kumpa ujumbe wa Mungu Kisha ataandika na utunzani anaengineer Mungu mwenyewe.

Mungu hulitunza neno lake ndani ya MIOYO ya watu wake, hiyo ndio njia nzuri zaidi ambayo kamwe haiwezi kupotea hata zichomwe BIBLIA zote na kufutwa mitandaoni.

NB: Mungu ni ROHO, na wote wamwabudio, imewapasa kumwabudu katika Roho na Kweli. Aamin
 
Kiranga Infropreneur Rabbon

min -me nisaidie kuniitia wengine kazini kwetu kuna kaziโ€ฆ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Ukishakuwa na vitabu viwili vinavyo pingana maelezo vyenyewe kwa vyenyewe,

Huitaji hata 'D' mbili kujua kwamba ni uongo, Hata ukiwa na 'F' inatosha kutambua kwamba vitabu hivyo ni vitabu uchwara, Hekaya za watu tu.

Zilizotungwa kulishana matango pori, kukaririshana uongo na ujinga.
 
Mungu hulitunza neno lake ndani ya MIOYO ya watu wake
Sasa kulikua na haja gani ya kuwa na bible "hard copy" kwanini hayo maelekezo yote Mungu asingeyaandika tu mioyoni mwetu kuondoa hizi tafrani zinazojitokeza sasa?
 
Sasa kulikua na haja gani ya kuwa na bible "hard copy" kwanini hayo maelekezo yote Mungu asingeyaandika tu mioyoni mwetu kuondoa hizi tafrani zinazojitokeza sasa?
Ilipita miaka Fulani duniani, kuwa na kitabu kiitwacho BIBLIA ilikuwa kosa linalostahili kuuwawa.

Sasa pamoja na juhudi hizo ovu, Bado hayupo awezaye kuifuta Imani juu ya Mungu katika Yesu Kristo.
 
Mungu ni noma wengine aliwapa habari hizi kwa ndoto na maona wakaenda kuandija kwenye mawe na wengine akawashushia moja kwa moja kutoka sijui wapi๐Ÿ˜€
Kuna namna tumepigwa sana๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Ukion hivyo jua umeanza kujitambua endelea kujiuliza na ujiulize hili kwa nini israel ukiubiri habari za yesu unafungwa na ufatilie bLack nazareti ni nani halfu ujiulize tena yesu ni mweusi au mweupe hlf tafuta picha ya yesu inayobebwa na papa akiwa anaingia ibadani ni ya mtu mweusi au nn au julize kwa nn rais tramp anatuita the chosen one ni vingii vya kujiuliza
 
Hapana.

Biblia ni mkusanyiko wa mandishi ya waandishi walioishi kati ya Miaka 5000 Hadi 2000 iliyopita.

Biblia ya Leo kwa mara ya kwanza iliandikwa wayahudi na waliotoka uhamishoni Babylon.

Maandiko yote ya Dini ni legends(ngano au Hadithi)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ