David King 51
New Member
- May 21, 2024
- 3
- 3
H.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hoja huwa mnairudia sana na ilishajibiwa zaidi ya miaka kumi humu.Kama hujui kwamba mungu yupo basi uwezo wako wa kufikili ni mdogo Sana, tena Sana.
Haiwezekani simu, magari, ndege, computer nk viwepo tu kwa babati mbaya. Kuna akili ilitumika kuviunda.
Ni hivyo, hivyo Binadamu, mfumo wa mvua, bahari, mifumo ya anga, wanyama, tabia za madini viwepo tu bila akili. Yupo aliyevitengeza
Una matatizoHii hoja huwa mnairudia sana na ilishajibiwa zaidi ya miaka kumi humu.
Ikiwa hivyo (kwa hoja yako) hata Mungu naye hawezi tokea tu ki bahati mbaya.
Haiwezekani pia Mungu akawepo kwa bahati mbaya itakua pia kuna kiumbe kamuumba nakuendelea.Kama hujui kwamba mungu yupo basi uwezo wako wa kufikili ni mdogo Sana, tena Sana.
Haiwezekani simu, magari, ndege, computer nk viwepo tu kwa babati mbaya. Kuna akili ilitumika kuviunda.
Ni hivyo, hivyo Binadamu, mfumo wa mvua, bahari, mifumo ya anga, wanyama, tabia za madini viwepo tu bila akili. Yupo aliyevitengeza
Akijibu nitagMungu yupi?
OkayUna matatizo