Hivi kweli mwanamuziki TID ni teja?

kupe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2012
Posts
1,035
Reaction score
328
Jamani wa fj hivi ni kweli huyu mwanamuziki TID anakula unga . aka teja. anayefahamu. ana elimu gani. Na ana elimu gani?
 
umekosea jukwaa,n'way kwani uteja unamahusiano na elimu?
 
Sio teja bali ni hali ngumu ya kiuchumi ndo inamsumbua
 
Watu wa karibu hko sinza wanadai anavuta sana bangi i dont'know kuhusu unga!
 
Anakula sana unga wa mahindi, ila unga wa ngano sijawahi kusikia kama anakula.
 
Mnyamwezi kweli anakula unga tena ameanza kitambo ila kwa sasa gari ndo limewaka
 
TID na NGWEAIR pia DAZ BABA wa kundi la DAZ NUNDA Yumo pia RAY C hata MAUNDA ZORO,DUDUBAYA,MR NICE
KWENYE BHANGI NDIO KARIBIA WOTE WAKIONGZWA NA 20% KWENYE MIRUNGI WAPO KIBAO WAKIONGOZWA NA SUMA LEE
 
mnyamaaa,anauza ngada kama dalaz wa wolper vile
 
TID na NGWEAIR pia DAZ BABA wa kundi la DAZ NUNDA Yumo pia RAY C hata MAUNDA ZORO,DUDUBAYA,MR NICE
KWENYE BHANGI NDIO KARIBIA WOTE WAKIONGZWA NA 20% KWENYE MIRUNGI WAPO KIBAO WAKIONGOZWA NA SUMA LEE

umesomeka Milad Ayo..
 
tid na ngweair pia daz baba wa kundi la daz nunda yumo pia ray c hata maunda zoro,dudubaya,mr nice
kwenye bhangi ndio karibia wote wakiongzwa na 20% kwenye mirungi wapo kibao wakiongozwa na suma lee

kwenye piwa ......
 
TID na NGWEAIR pia DAZ BABA wa kundi la DAZ NUNDA Yumo pia RAY C hata MAUNDA ZORO,DUDUBAYA,MR NICE
KWENYE BHANGI NDIO KARIBIA WOTE WAKIONGZWA NA 20% KWENYE MIRUNGI WAPO KIBAO WAKIONGOZWA NA SUMA LEE

mh huyu twenty pase kafia wapi au bange ime mbangua zile tuzo 5 zimepotea bure! ah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…