Hivi kweli serikali imeshindwa kuwatia nguvuni matapeli wa mtandaoni?

Hivi kweli serikali imeshindwa kuwatia nguvuni matapeli wa mtandaoni?

stonecutter

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2022
Posts
1,724
Reaction score
2,584
Wakuu,

Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake.

Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika).

Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante.

Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli.

Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).

Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni?

Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
 
Wakuu. Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake. Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika). Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante. Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli. Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana). Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni? Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Umeripoti polisi??
 
Wakuu. Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake. Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika). Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante. Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli. Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana). Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni? Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Jitahidi kuwekea Paragraph ili kutoumiza watu vichwa.

Matapeli wapo na TCRA ndio wanatakiwa kuwa mstari wa mbele kukomesha huu ujinga.

Yaan unakamata mmoja wa mfano.
 
Wakuu. Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake. Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika). Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante. Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli. Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana). Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni? Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Mimi Huwa nawataimu, naanza najifanya fala kufuata maelezo wanayonipa halafu gaflaa natukana matusi mazito Ili na wao wapate changamoto kwenye kazi zao.
 
Mimi Huwa nawataimu, naanza najifanya fala kufuata maelezo wanayonipa halafu gaflaa natukana matusi mazito Ili na wao wapate changamoto kwenye kazi zao.
Hii ndo njia yangu mimi wakiniuliza nina shilling ngap kwenye account nawaambia million 6 , wakiniuliza tena nawaambia kwenye account kuna laki 4 , hapo wataanza kukwambia uwe serious utaji kiwango cha pesa ulichokuwa nacho nawatajia kingine million 1
 
hao jamaa wakinipigia ijifanyaga mshamba kuwapa ushirikiano hadi wenyewe wanacha kupiga simu
Mimi nikishamgundua tu, nakata simu na kui block namba yake mara moja kabla ta kufikia hatua ya kuporomosha matusi.

Hawa matapeli nahisi watakuwa wanashirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa makumpuni ya simu wasio waaminifu. Haiwezekani wakikutapeli tu, hiyo hela huwezi kurejeshewa tena!
 
Mimi nikishamgundua tu, nakata simu na kui block namba yake mara moja kabla ta kufikia hatua ya kuporomosha matusi.

Hawa matapeli nahisi watakuwa wanashirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa makumpuni ya simu wasio waaminifu. Haiwezekani wakikutapeli tu, hiyo hela huwezi kurejeshewa tena!
wajannja wakipata hata buku sahiyohiyo wanamisha pesa au kutoa kwa wakala yani ni kama wana namba ya wakala hapohapo
 
Huwa nawapa tusi halafu nakata hapo hapo, ukizubaa sekunde moja unaporomoshewa mvua ya matusi
 
Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli.

Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).

Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni?
Hao ni jamaa zao TCRA,
Wanachoweza ni kuwadukuwa akina Mbowe ila siyo matapeli
 
Wakuu.

Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake.

Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika).

Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante.

Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli.

Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).

Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni?

Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Why should you spare your valued time kuongea na watu kama hao?! Kwanini mnawaendekeza namna hiyo? Halafu mnakuja kuleta Uzi huku. Kweli? Ndo maana wanawatukana kwa sababu washawajua hamnazo.
 
Siku nyingine na wewe wahi kuwatukana... Tukana chaaap Tani yako alafu k

Why should you spare your valued time kuongea na watu kama hao?! Kwanini mnawaendekeza namna hiyo? Halafu mnakuja kuleta Uzi huku. Kweli? Ndo maana wanawatukana kwa sababu washawajua hamnazo.
Asante mkuu kwa mchango wako.
 
Back
Top Bottom