Hivi kweli serikali imeshindwa kuwatia nguvuni matapeli wa mtandaoni?

Hivi kweli serikali imeshindwa kuwatia nguvuni matapeli wa mtandaoni?

Kuna dada mmoja alitumiwa text hewa ya mpesa 500000 kisha wakampgia simu wakamwambia tumetuma hela kimakosa inabidi uturudishie.kama uko karibu na wakala tunaomba uturudishie laki nne hyo nyngine ni ya kwako.yule dada kwa furaha akaenda kwa wakala kuwarushia.wakati wanawasiliana walimwambia usikate cm na ukifika kwa wakala mwambie atume hyo pesa akishatuma ndio umpe hyo cmu ili atoe hela yake yule dada kwa furaha akafanya kama alivyoambiwa na wale matapeli. Baada ya pesa kutumwa ndipo akampa wakala cm ili atoe hela yake.wakala kila akitoa ile pesa anaambiwa salio halitoshi kutoa hzo pesa ili bidi wakala angalie salio akakuta ni ziro.yule dada alichanganyikiwa baada ya kujua ametapeliwa.kupiga cm kwa matapeli anambiwa cm haipatikani ili bidi anze kulia lakn haikusaidia kwani wakala anachotaka pesa yake.wakala akataka kumpeleka polisi yule dada akamwambia wakala naomba unipeleke kwa wazaz wangu ili wajue kama naenda polisi.moja kwa moja mpaka kwa wazazi. Bahati nzuri wazazi walikuwa na miradi mifugo hiko ndicho kilichomwokoa ilibidi wazazi wauze nguruwe wawili ili kulipa lile deni.hyo ilitokea moshi na huyo dada anaitwa vailet urasa wa marangu moshi.
 
Hii niseme tu ni syndicate na inawakubwa ndani yake no doubt,haiwezekani polisi wetu,wanaojinasibu na intelligensia wameshindwa kumaliza tatizo dogo hivi,na kinachofanya niamini ni kazi ya wakubwa flani,wameelekezana kabisa namna ya kutukana ,usipoonyesha ushirikino,na namba nyingi ni za kampuni ya simu ya taifa
 
Lile tusi la kile kiungo chenye utamuu lauma Sanaa, waeza piga ata ukuta ngumii endapo mtusi ayuko hapo ulipoo
 
Mimi nikishamgundua tu, nakata simu na kui block namba yake mara moja kabla ta kufikia hatua ya kuporomosha matusi.

Hawa matapeli nahisi watakuwa wanashirikiana na baadhi ya wafanyakazi wa makumpuni ya simu wasio waaminifu. Haiwezekani wakikutapeli tu, hiyo hela huwezi kurejeshewa tena!
Tate unafeli mzee, hao jamaa wanawapigia hadi wafanyakazi wa mtandao wa simu kutaka kuwatapeli. Wanachofanya wakijua umeingia kwenye laini na wao wanaanza kutoa fasta kwahiyo huwezi kureverse kwakuwa hela ishatolewa
 
Kuna dada mmoja alitumiwa text hewa ya mpesa 500000 kisha wakampgia simu wakamwambia tumetuma hela kimakosa inabidi uturudishie.kama uko karibu na wakala tunaomba uturudishie laki nne hyo nyngine ni ya kwako.yule dada kwa furaha akaenda kwa wakala kuwarushia.wakati wanawasiliana walimwambia usikate cm na ukifika kwa wakala mwambie atume hyo pesa akishatuma ndio umpe hyo cmu ili atoe hela yake yule dada kwa furaha akafanya kama alivyoambiwa na wale matapeli. Baada ya pesa kutumwa ndipo akampa wakala cm ili atoe hela yake.wakala kila akitoa ile pesa anaambiwa salio halitoshi kutoa hzo pesa ili bidi wakala angalie salio akakuta ni ziro.yule dada alichanganyikiwa baada ya kujua ametapeliwa.kupiga cm kwa matapeli anambiwa cm haipatikani ili bidi anze kulia lakn haikusaidia kwani wakala anachotaka pesa yake.wakala akataka kumpeleka polisi yule dada akamwambia wakala naomba unipeleke kwa wazaz wangu ili wajue kama naenda polisi.moja kwa moja mpaka kwa wazazi. Bahati nzuri wazazi walikuwa na miradi mifugo hiko ndicho kilichomwokoa ilibidi wazazi wauze nguruwe wawili ili kulipa lile deni.hyo ilitokea moshi na huyo dada anaitwa vailet urasa wa marangu moshi
 
hao jamaa wakinipigia najifanyaga mshamba kuwapa ushirikiano hadi wenyewe wanacha kupiga simu.
kuna mmoja hadi alinambia kwa staili hii hata shemeji yetu anakazi kupata kodi ya mezani.nilicheka sana akadai acha niendele kuwapiga jamaa wengine akakata simu
Mimi jana kuna mmoja kanipigia eti amekosea muamala wa mpesa nilichofanya nilimwambia kaka jambazi kula chuma hicho nikaweka simu kwenye speaker ya home theater nikamfungulia na sauti mpk mwisho
 
Mimi sipokei simu kutoka namba nisiyo ijua au Mpawa au MTU yoyote anaye nidai. Kuna mmoja kaja Whatsapp na kunitext.
Eti... Bro mbona huonekani.
Nilimblock fastaa
 
USIPOKEE SIMU KUTOKA NAMBA USIYO IJUA.
HUTATAPELIWA.
WALE WA NDAGU WA BLOCK TU LKN UKITUMA NAMBA ZAO KWA ILE NAMBA YA POLISI HAWAFANYWI KITU, KESHO TENA WANAPIGA.

DAWA USIPOKEE SIMU USIYOIJUA.
BLOCK NAMBA ZA WAGANGA WA NDAGU.
HESHIMU WATU.
 
Hela kama imepona basi hata wakutukane vipi huwezi kuumia, ila ubaya sasa uwe huna hata kumi alafu uoge na matusi😁😁😁 it's like "yaani nikipata nafasi ya kumkamata huyu jamaa hiiiiiiiih (in JPM voice)"
 
Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).
mimi alinipigia jamaa wa huduma kwa wateja anakigugumizi 😀😀😀 aisee nilicheka saaana, mpaka jamaa akajishtukia na kukata simu.
 
Wakuu,

Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake.

Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika).

Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante.

Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli.

Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).

Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni?

Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Li husika lipo huku linatetea tunavoibiwa
 
Wakuu,

Ni hivi, leo nikiwa nyumbani akaja dada mmoja jirani yetu akiwa anaongea na mtu kwa simu yake.

Baada ya kukata simu akaniambia kwamba amekuwa anaongea na matapeli na wamemwuliza kiwango cha pesa kwenye akauti yake na kwamba kuna mteja ametuma pesa kimakosa kwenye akaunti ya yule dada na anatakiwa azirudishe (maana tapeli amejifanya ni mhudumu wa mtandao husika).

Baada ya muda kidogo, sms iliingia kwenye simu ya yule dada kuthibitisha kuwa pesa zimeingia na kiwango ni kile alichotaja ila anaporudisha abakize elfu kumi ya asante.

Jamaa akapiga simu kumshawishi dada arudishe pesa. Baada ya majibizano ya muda mfupi kati ya tapeli na yule dada nikachukua simu ya yule dada ili kuongea na tapeli.

Nikamwambia "NDUGU, HELA HAITAFUTWI NAMNA HIYO" Jamani baada ya hapo nimetukanwa matusi yote kwa muda mfupi na mhanga mkubwa ni mamangu mzazi ninayempenda sana (inauma sana).

Je, serikali inajua kwamba raia wake tunatukanwa matusi mazito ya mwilini achilia mbali ya nguoni?

Na Je, serikali imeshindwa kuwatia nguvuni wapuuzi hawa?
Wengi hawa matepeli wanatumia number za TTCL mashirika yetu ya serikali ndio ugonjwa huu uko huko hili shirika hata sijui faida yake ni nini yaani ufanisi zero wapo wapo tu.
 
Wengi hawa matepeli wanatumia number za TTCL mashirika yetu ya serikali ndio ugonjwa huu uko huko hili shirika hata sijui faida yake ni nini yaani ufanisi zero wapo wapo tu.
Ni kweli.
 
Back
Top Bottom