Hivi kweli South Africa kulikuwa na ubaguzi wa rangi?

Ubaguzi wa rangi ulikuwepo ndiyo! Lakini hiyo haifanyi watu wote kuwa wabaguzi. Hata jamii mbalimbali za Tanzania, Afrika na ulimwengu wote bado kuna ubaguzi na bado upo ushirikiano. Tofauti ni kiwango cha ubaguzi na namna ya kuutekeleza huo ubaguzi, hata Tanzania ya sasa lipo vuguvugu la ubaguzi.
 
Mkuu you are a great thinker. Best comment. Agizia chochote hapo kwa mangi ntalipia.
 
Inaelekea walikuwa wanawasaidia kazi za ndani/nyumbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…