Hivi kweli wema ndio anaelekea ukingoni?

Midekoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
45,757
Reaction score
246,786
Wema Leo amepost picha zake Kali baada ya kufuta post zake zote za mwaka Jana. tangu mwaka mpya uanze Leo Ndio kapost picha zake cha kushangaza sio Kama kawaida ilivyokuwa awali, Zamani ilikuwa hapatoshi Malkia huyu akituma picha zake. Lakini naona watu wako Kimyaaaa hata ile team yake hakika Hakuna amsha amsha kama za awali. Hakika Hakuna marefu yasiyo na ncha

 
Wema alitakiwa awe mbali sana sana.

But I guess the fame that came at such a tender age overwhelmed her.

The people around her didn't do much to help her bask in her glory more than 10 years down the line, or play her cards right.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…