Hivi kweli wema ndio anaelekea ukingoni?

Hata Hamisa yuko juu kwa Sasa
Misa kampoteza wema....team wema wengi wanamsapoti misa

Na hama hama.vyama imemponza wema
 
Huyo ni bibi wa kitanzania aliyechokwa na kuchakazwa vibaya na wanaume. Kwa sasa anapambana na hali yake.

Wema kwa sasa amechoka sana kimwili, kiakili na kisanii. Hakuna tena mtanzania yoyote mwenye Akili zake timamu anamfagilia.
 
Umaarufu huwa una mwisho wake na hao mashabiki huwa wanaangalia uproot unapoelekea.sio kila mmoja anakupenda.wengine wanatumia Jina lako ili wapate follower wafanye biashara zao. Kwa sana hivi wote wameangukia team hamissa kwa sababu wanamuona yupo top kwa kipindi hiki
 
huyu dada angekua mbali sana coz she is brand. lakini nashangaa sioni kupata madili ya matangazo.
 
Zooming ya pic namba tatu inathibitisha she's just a by gone kunako kutumbo!
 
Ahamie nchi nyingine,hapa bongo ameshakuwa USED sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…