Ndani ya injini kuna piston inakandamiza hewa na mafuta mpaka yana lipuka mlipuko mkubwa ambao ndo unatoa makelele,
makelele yale yana punguzwa kwa kupitia vifaa kama exaust mainford ,exaust mufler na bomba la moshi mpaka mlio unakua mdoogo sana,
Mechanical expret wengine watafafanua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
'Crengshaft' sijajua ni nini.Katika ingine ya gari ukiwasha unasikika ule mgurumo kuwa engine iko on sasa kwenye engine ndani crengshaft ndio huzungusha piston na mbele ya crengshaft ndiko hufungwa 'panga boy' kwa ajili ya kupuliza engine kupooza.
Sasa ukisema labda huo mlio hutoka kwenye panga boy mbona hata ukitoa hilo 'panga boy' mlio unakuwa ni ule ule? Je, huo mlio (mngurumo) huwa unatoka wapi kwenye hiyo engine?
mainford zipo mbili,kuna ya kuingiza hewa safi na ya kutoa hewa chafu yani moshiAisee umetaja hizo manifold and muffler umenikumbusha nikiwa najifunza kutengeneza trekta kijijini kule.
Ni chuma flani limejikunja kama nyoka anatembea pistons hufungwa kwenye hiyo crankshaft.'Crengshaft' sijajua ni nini.
dodge
Mkuu Crankshaft naijua lkn 'Crengshaft' ndio nimeisikia leo.Ni chuma flani limejikunja kama nyoka anatembea pistons hufungwa kwenye hiyo crankshaft.
Kazi ya Crankshaft ni kubadili safari za juu na chini za pistons(strokes,mapigo)kuwa mzunguko,
Mzunguko ambao mwisho wa siku unaendesha chomboView attachment 1348309View attachment 1348310
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadikiri jamaa amekosea tu kwenye uandiahi. Alimaanisha "Crankshaft"'Crengshaft' sijajua ni nini.
dodge
ahaa mm ndo nimechapia hapo mzee baba,Mkuu Crankshaft naijua lkn 'Crengshaft' ndio nimeisikia leo.
dodge
ahaa mm ndo nimechapia hapo mzee baba,
nimechapia kama refa wa jana mechi ya vyura na polisi[emoji3][emoji16][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadikiri jamaa amekosea tu kwenye uandiahi. Alimaanisha "Crankshaft"
Sent using Jamii Forums mobile app
Katika ingine ya gari ukiwasha unasikika ule mgurumo kuwa engine iko on sasa kwenye engine ndani crengshaft ndio huzungusha piston na mbele ya crengshaft ndiko hufungwa 'panga boy' kwa ajili ya kupuliza engine kupooza.
Sasa ukisema labda huo mlio hutoka kwenye panga boy mbona hata ukitoa hilo 'panga boy' mlio unakuwa ni ule ule? Je, huo mlio (mngurumo) huwa unatoka wapi kwenye hiyo engine?
Mafuta hayalipuki kwa kugandamizwa. Ila kugandamizwa kunapelekea once mafuta yatakapokuja kulipuka power iwe kubwa. Swala la kulipuka mafuta inategemea na aina ya engine. Mafuta yanavyochomwa kwenye engine ya petrol ni tofauti na yanavyochomwa kwenye engine ya diesel.Ndani ya injini kuna piston inakandamiza hewa na mafuta mpaka yana lipuka mlipuko mkubwa ambao ndo unatoa makelele,
makelele yale yana punguzwa kwa kupitia vifaa kama exaust mainford ,exaust mufler na bomba la moshi mpaka mlio unakua mdoogo sana,
Mechanical expret wengine watafafanua zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sahihi kabisa,hewa inakandamizwa kisha fuel injection inafanyika hatimae mlipuko unatokea,Mafuta hayalipuki kwa kugandamizwa. Ila kugandamizwa kunapelekea once mafuta yatakapokuja kulipuka powe iwe kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie kufahamu jambo flani kwenye injini za kisasa za petroli mkuu ?Mafuta hayalipuki kwa kugandamizwa. Ila kugandamizwa kunapelekea once mafuta yatakapokuja kulipuka power iwe kubwa. Swala la kulipuka mafuta inategemea na aina ya engine. Mafuta yanavyochomwa kwenye engine ya petrol ni tofauti na yanavyochomwa kwenye engine ya diesel.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jambo gani?Nisaidie kufahamu jambo flani kwenye injini za kisasa za petroli mkuu ?
Sent using Jamii Forums mobile app