CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,296
- 12,972
habari za jumapili wapendwa, natumai wengi wetu tumetoka church na wengne tumepumzika na kuna wengne wapo mzigon km mie hapa. nisiwachoshe. . .
nimewahi kukutana na baadhi ya akina baba ninaofahamiana nao na kuwaheshimu wenye mabinti wa rika langu wakiniuliza swali hili. . hv umeshaolewa? kwanini hujaolewa ama unachagua sana wachumba? na wananisisitiza kuolewa na wananisisitiza kutochagua sana. hv huwa wanamaanisha nini, kwani me suala la kuolewa ni maamuzi binafsi kwanini wao wanishadidie? kwani lazima?
kwa maisha ya sasa..
hayo maswali ni ya ki 'primitive saana'
ni sawa na kumuuliza mtu eti bado
unapanda daladala?
utafikiri maisha yake unayapanga wewe...
wapumbavu wengine utasikia....'bado umepanga mpaka leo'?
hujajenga bado?
stupids questions from stupids people
Naaam. Maandiko yanasema "aliyepewa vingi, atadaiwa vingi"TO WHOM MUCH IS GIVEN,MUCH IS TESTED....
kwa maisha ya sasa..
hayo maswali ni ya ki 'primitive saana'
ni sawa na kumuuliza mtu eti bado
unapanda daladala?
utafikiri maisha yake unayapanga wewe...
wapumbavu wengine utasikia....'bado umepanga mpaka leo'?
hujajenga bado?
stupids questions from stupids people
Narudi tena namtafuta papaa THEBOSS ujumbe nakupenda.
The Boss, i like this "stupid questions from stupids people" yan unakuta mtu kakushikîa bango hv hujaolewa tu. tatizo nina mwili mkubwa bt kiumri cjafikia miaka ya kuexpire kama asemavyo mdau Kilahunja, naamini kila jambo na wakat wake na pia colewi kuifurahisha jamii,kufuata mkumbo ama kushinikizwa na wazazi/ndugu. nitaolewa kwa mapenzi ya Mungu.
mimi huwa nawaambia nipeni huyo mchumba?...wakiangalia hakuna mtu ..basi wananielewa kuwa wa kunioa hakuna wala sio mimi nina shida
Hujajua tu kama hao 'wababa' wanakutongoza? Stuka!
Hujajua tu kama hao 'wababa' wanakutongoza? Stuka!
na hata usipo olewa
there is nothing wrong with that
kwa maisha ya sasa..
hayo maswali ni ya ki 'primitive saana'
ni sawa na kumuuliza mtu eti bado
unapanda daladala?
utafikiri maisha yake unayapanga wewe...
wapumbavu wengine utasikia....'bado umepanga mpaka leo'?
hujajenga bado?
stupids questions from stupids people
Hujajua tu kama hao 'wababa' wanakutongoza? Stuka!
issue ni pale unakutana na mzee wa kijijini kwenu afu akakutwanga swali kama hlo. . . me huwa nawajibu bado nasoma ila nikimaliza kusoma ndo ntaolewa. make wanachosha as if walikuletea mchumba ukamkataa. . .
hapo unakuwa unaelezwa kwa njia nyingine kwamba: 'we can see that you are now past your prime age na hujapata mwenza, vipi tukikusaidia kabla hujazeeka'