Hivi leo waTanzania tukiamua kutumia bidhaa zinazozalishwa ndani tu kwa miaka mitano, hatutakuwa nchi ya dunia ya kwanza?

Ni wazo zuri ila bidhaa nyingi za mahitaji ya kila siku hazizalishwi TZ
 
Naomba tusirudi nyuma katika hili, uchumi wetu utajengwa na sisi wenyewe..
 
Tujitahidi sana kununua Maziwa na Soseji zinazozalishwa nchini Tanzania, hii itasaidia sana kulinda ajira za ndugu zetu walioajiriwa huko
 
Mawazo yako mazuri
 
Tiles kwa sasa zipo zinazalishwa nyingi nchini, tuache kutumia za nje
 

Hata hizo kandarasi wapewe wazawa, tunavujisha matrilion kwenda nje kila mwaka, inaumiza sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…