ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 14,949
- 54,485
Tena wewe hadi avatar umeeka Simba😂fake you😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wewe hadi avatar umeeka Simba😂fake you😡
IDIOT acha Kuzuga ulisema kuwa Miaka ya 70 uliyokuwepo kulikuwa hakuna Hospitali ya Agha Khan Tanzania ambavyo Mimi pia nimezaliwa hapo na kwamba Hospitali pekee zilizokuwepo Dar es Salaam ni yako ya Ocean Road na Muhimbili hivyo tunataka Ushahidi wa huu UJUHA wako, ila Mimi nakuwekea hapa chini Ushahidi wangu Kuntu na Tukuka kabisa kuuonyesha kuwa Wewe Kwangu si tu ni Mshamba ila pia huna hata HADHI ambayo ninayo kwa sasa na nakuambia hili huku nikiwa NAJIAMINI na nina JEURI zote.Hawa mbumbumbu hakuna wa kumsumbuwa mtoto wa Libya street, Murtaza.
Huwa tunawachora tu wanavyopayuka, Mangungu ameteuwa mjumbe wa bodi kuwaonesha mamlaka aliyonayo kikatiba.
Sasa mbumbumbu hawa kina GENTAMYCINE waangalie mjumbe aliyeteuliwa na Murtaza ni nani ndio akili zitawarudia.
NdioHivi ni kweli Yanga wamefungiwa kusajili?
Thank you!!Nilipenda tu kujua kwa kweli. Maana kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kumtishia usalama wake!
Ila cha kushangaza kwa sasa naona habari ya mjini ni Thank you tu kwa baadhi ya wachezaji ndiyo imetawala!
Limefikia hatua nzuriNilipenda tu kujua kwa kweli. Maana kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kumtishia usalama wake!
Ila cha kushangaza kwa sasa naona habari ya mjini ni Thank you tu kwa baadhi ya wachezaji ndiyo imetawala!
Hahaha, sema mtalipa madeni.Sheikh uko dunia ya wapi! Mbona usajili unaendelea!! Ila ni kimya kimya kama ilivyo kawaida. Hao Fifa tunawamudu vizuri tu. Watatufungulia wenyewe watake wasitake.
Ni kweli kabisa. Halafu msimu ujao tunazirudisha zile tano ili muwe na utulivu vizuri.Madeni yatalipwa tu maana hakuna namna nyingine. Wameyataka wenyewe. Utulivu na umakini vinahitajika sana wakati wa usajili wa hawa Maproo kutoka nje.
Shida yenu nyinyi kila msimu mnasajili wachezaji wapya na pia kocha mpya. Halafu wakianza tu kuzoeana, mnawatimua.Ni kweli kabisa. Halafu msimu ujao tunazirudisha zile tano ili muwe na utulivu vizuri.
Huwa tunapokezana, usisahau Simba imechukua mfululizo pia.Shida yenu nyinyi kila msimu mnasajili wachezaji wapya na pia kocha mpya. Halafu wakianza tu kuzoeana, mnawatimua.
Kwa hali hii, hamuwezi kwa timu kama Yanga, ambayo yenyewe kwa miaka zaidi ya mitatu sasa, yenyewe huwa inakiboresha tu kikosi chake kwa kuongeza wachezaji wachache muhimu.
Acha dharau 😁Makolo wana akili za msimu
Kunywa maji ukimaliza tunaendelea siwezi kukuacha kizembe hivi...!🤸Mimi na wwe kwanzia leo tuachane😭
ha ha ha the new faizafox in jf, uwe basi unamalizia kwa,Umli
Umri
Mda
Muda
Sakata lipo kwenye hatua za lala salama
Nilipenda tu kujua kwa kweli. Maana kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kumtishia usalama wake!
Ila cha kushangaza kwa sasa naona habari ya mjini ni Thank you tu kwa baadhi ya wachezaji ndiyo imetawala!
PIA SOMA
- Wanachama wa Simba 'Aggy Simba' na Dkt. Mohammed wafungiwa kujihusisha na klabu kwa muda
- Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu
- Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba
- Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake
- Tetesi: - Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
Kila kitu kina timing!Siyo kwenda kama ngiri maji bila kutumia akili.
Nilipenda tu kujua kwa kweli. Maana kuna watu humu jukwaani walifikia mpaka hatua ya kumtishia usalama wake!
Ila cha kushangaza kwa sasa naona habari ya mjini ni Thank you tu kwa baadhi ya wachezaji ndiyo imetawala!
PIA SOMA
- Wanachama wa Simba 'Aggy Simba' na Dkt. Mohammed wafungiwa kujihusisha na klabu kwa muda
- Wajumbe Bodi ya Simba upande wa Wanachama wagoma kujiuzulu
- Salim Abdallah 'Try Again' ajiuzulu uenyekiti bodi ya wakurugenzi Simba
- Bodi ya Simba upande wa mashabiki wanataka kumtapeli Mo Simba yake
- Tetesi: - Simba imepasuka. Kuna Simba ya Try Again na Simba ya Mo, Kila upande unauroga upande mwingine
- Tetesi: - Simba inatarajia kumrejesha tena Barbara Gonzalez kwenye Bodi
Wanamsuburi MayeleHuu ndio muda wa kufrahia usajili hayo mengine hawayaoni, watakuja kutifuana tena nusumsimu.