wakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,
Moja inaitwa Is Not Easywakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,
Huyu jamaaa muache, alikuwa anaruka na kuimba na pumzi haikati, then sauti anashuka hadi pitch ya Chini...Dube alikuwa fundi kwakwel
Dude upo vizuri...... Heshim kwako, umewek mawe tupuMoja inaitwa Is Not Easy
Nyingine inaitwa Slave
Kuna
War and Crime
Blame on me
The way it is
Prison
Dracula
Soldier
N.k
Naona ndio unajifunza kiswahili[emoji4]wakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,
Kuna ile "Back to my root" aliyoimba live kuna sauti za pitch zote, ni nzuri.Huyu jamaaa muache, alikuwa anaruka na kuimba na pumzi haikati, then sauti anashuka hadi pitch ya Chini...
Dube yupo vizuri sanaDude upo vizuri...... Heshim kwako, umewek mawe tupu
Ongeza I GOT UDube yupo vizuri sana
Tafuta kitu kama
Hold on
Trinity
Gun and rose
Group Areas Act
Love me the way I'm
Napenda sana kuzisikiliza nikiwa mwenyewe.
Kabisa kabisa na Soul taker (kama sijakosea)Ongeza I GOT U
Anawatoto wawili vijana wakubwa Nkulee wa kike na Thokozani wa kiume.wakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,
Upo sahihi mkuu reggae music ni zaidi ya nyimbo nyingine haswa ukituliza akili yako nakusiliza maneno ya rohoni na bit zilizopangikaKabisa kabisa na Soul taker (kama sijakosea)