...to make me feel alright, asante mkuuOngeza I GOT U
Unaitwa is not easy.... she is the best.... but today...... ngoja waje wadau.
Wow, ziwekeMimi ninazo karibia zote! Audio na mp4. Ishu ni namna ya kuziweka sasa hapa jukwaani. Huo wa kutendwa unaitwa "It is not easy" na huo wa utumwa wa pombe unaitwa "Slave"
Kama vipi zi download tu maana ni rahisi sana.
Kuhusu mtoto, ametuachia mtoto wa kike mmoja tu! kwa sasa naye ni mtu mzima na ana kipaji kama cha baba yake. Naye ni mtu wa rasta muda wote.
Hiii kitu hot mno...to make me feel alright, asante mkuu
Ongezea hivi vitu:Moja inaitwa Is Not Easy
Nyingine inaitwa Slave
Kuna
War and Crime
Blame on me
The way it is
Prison
Dracula
Soldier
N.k
unaitwa, I've got you.Ongeza I GOT U
Yupo wa kiume mkubwa sikuhizi kakua anaimba reggae ukiachana na yule wa kike aitwaye Nkule DubeMimi ninazo karibia zote! Audio na mp4. Ishu ni namna ya kuziweka sasa hapa jukwaani. Huo wa kutendwa unaitwa "It is not easy" na huo wa utumwa wa pombe unaitwa "Slave"
Kama vipi zi download tu maana ni rahisi sana.
Kuhusu mtoto, ametuachia mtoto wa kike mmoja tu! kwa sasa naye ni mtu mzima na ana kipaji kama cha baba yake. Naye ni mtu wa rasta muda wote.
Merci, mdau.unaitwa, I've got you.
Bonge moja ya reggae love song
Hata kama walikuwa wadogo, kwa sasa watakuwa wakubwa.wakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,