Public Enemy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2011
- 3,029
- 3,520
We njoo tupashe tu... Reggae itatu Strongisha hahahaa Sometimes between 2017-2018 Huku mikoa ya kaskazini.Mwaka gani huo na wap isije kuwa ndo mie, Tukapasha kidogo, maana naipenda reggae tangu kitambo
Haaaaa haaaaa basi sio mimi, mtafute sasaWe njoo tupashe tu... Reggae itatu Strongisha hahahaa Sometimes between 2017-2018 Huku mikoa ya kaskazini.
Yupo ni marafiki sasa Siku moja moja sana kama tukipata wasaa huwa tunapasha hahahaaaaHaaaaa haaaaa basi sio mimi, mtafute sasa
Duh lakini we umeoa na yeye kaolewa sio?Yupo ni marafiki sasa Siku moja moja sana kama tukipata wasaa huwa tunapasha hahahaaaa
Hapana, sote bado.Duh lakini we umeoa na yeye kaolewa sio?
Basi mrudiane mnapasha nini sana nyau weHapana, sote bado.
Kamwe haiwezi kuwa sawa tena.Basi mrudiane mnapasha nini sana nyau we
JibebeKamwe haiwezi kuwa sawa tena.
Crime does not pay,, reggae ina ujumbe kwakwel'Somebody told me about it,when i was still a little boy.
She said to me crime does not pay,
she said to me education is the key.
As a little boy i thought i knew what i was doing.... ye man!
But today here i am in jail
i am the Prisoner
I am the Prisoner.
Artist;Lucky Dube
Song;Prisoner
RIP Dube.
anakwambia its better to be alone and happy than be with someone and be unhappyDaah...! Asante mkuu kwa kukumbuka hiyo Kiss no Frog , weka mbali na watoto kabisa.
Huyu jamaa alikuwa ana preaching kupitia reggae.anakwambia its better to be alone and happy than be with someone and be unhappy
Usishau My son am sorryusisahau ngoma inaitwa remember Me huu wimbo sichokagi kuusikiliza.
Alikuwa na jumla ya watoto saba (7) toka kwa mke wake ZaneleLucky Dube akuacha watoto wakubwa,
Sio kweliAhahahha...ivi Mina cute unakula jani mama maana kusikiliza izo nyimbo zahitaji akili za ziada ujue
Hata mimi naamini hivyo sioni mtu mwingine wa kumfikia DubeBinafsi naamini hakuna mwana Rege ambaye hamhusudu hayati Luck Dube alafu si amini sana kama kuna kiumbe atakuja kuvaa viatu vyake vikamuenea ipasavyo.
Nkulee wa kike na Thokozani wa kiume.
Aliyotendwa inaitwa is not easywakuu napenda nyimbo za Lucky Dube, Kuna ile anamuambia MAma yake kuwa ametendwa na mwanamke,
Na kuna ule analalamika amekuwa Mtumwa wa pombe,
iv Lucky Dube akuacha watoto wakubwa,