MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Mara nyingi huwa naona Watanzania wakijisifia kuitwa 'Wabongo', sasa juzi nimetazama video ya rais Magufuli akizungumza kuhusu matapeli yaliyopiga hela ya maji Tunduma, akasema alifikiria Wabongo wapo Dar es Salaam tu, kumbe na Tunduma wapo, kwa hivyo ina maana hilo jina linahusiana na ukajanja na utapeli tapeli....