Ni kweli hakuna sababu ya ku-rank shule zetu kwenye ufaulu. Ya kwako ingekuwa ya mwisho kila mwakaHapana jana ni uzembe wa wafungaji wa Us Monastir la sivyo khamsa ilikuwa inakaa ubaoni
SawaViemoro ni tatizo,unajazaje mabeki vifutu kwenye defensive area.
Ni kweliMagoli ya aerial balls Ni janga la dunia nzima. Arsenal Wana mabeki warefu but walifungwa goli la juu tena baada ya vichwa kupigwa golini kwao zaid ya Mara tatu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi sina shule kazana kupambana na khali yao na wale vibeki vyako vimbilikimoNi kweli hakuna sababu ya ku-rank shule zetu kwenye ufaulu. Ya kwako ingekuwa ya mwisho kila mwaka
Inonga ni mbilikimo?Mimi sina shule kazana kupambana na khali yao na wale vibeki vyako vimbilikimo
SanaKwenye mipira Yakichwa au Juu Simba Tunashida sana
Sio Kuokoa tu Hata kufunga Bado Nitatizo mtu Anaruka Kupiga kichwa Mwenyewe Hajui anaruka Aupige uende wapi!
Ulishazoea kukojozwa hamsa hamsa we Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada/Zuwena la sivyo huridhiki, kweli Kenge ni Kenge wala hajifichi [emoji23]Hapana jana ni uzembe wa wafungaji wa Us Monastir la sivyo khamsa ilikuwa inakaa ubaoni
Sawa dada mwajuma ndala ndefuUlishazoea kukojozwa hamsa hamsa we Mbumbumbu/Malalamiko/Mikia/Makelele/Kolowizards/Ngada/Zuwena la sivyo huridhiki, kweli Kenge ni Kenge wala hajifichi [emoji23]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mmmmmmh kweli elimu yetu badoSawa dada mwajuma ndala ndefu
Chura fc
Wacheza uchi fc
Gongo wazi fc
Utopolo fc
Wala mihogo fc
Wazee wa bakuli fc
Kangamoko fc
Hii khamsa ulikuwa bado hujaziliwa wewe mbwa wa luc eymael?
Wewe mwenye mabeki warefu mbona umechezea pia kwa goli lilelile tena mbele ya timu dhaifu?Mimi sina shule kazana kupambana na khali yao na wale vibeki vyako vimbilikimo