Sawa kabisa1.Mazoezi huleta mazoea.
Waruka vichwa wengi was Huku kwetu wanafunga macho ..yaani wanauogopa mpira ....hapa tatizo lipo kwenye mwili au Ubongo.
Wengine ndio hawaruki kabisaa 2.nafkiri hii ni Moja ya uwezo wa kipekee aliokuwa nao mtu wa kujisemea huu mpira ni wangu na kuenda kuupigania.
SahihiUnajua goli linaweza kufungwa katika mazingira tofauti tifauti ukiachana na kasoro za kimaumbile
Unaweza ukawa na kimo kirefu lakini bado ukizidiwa timing, mtu mfupi akawa anaruka kimo cha usawa wako na ku win mpira kabla yako
Au kuwa katika angle sahihi na kufanya maamuzi sahihi, mfano mpira uliopigwa katika lango lako unaweza ukawa katika nafasi ya kuucheza lakini mpira ukaja katika angle ambayo ukiugusa unaenda kujifunga.
So mimi kabla ya kusema urefu au ufupi nimeona shida yetu sisi katika ligi hii tunaudhaifu mkubwa sana kwenye hii mipira iliyotengwa.
(Japo sio kama nawapinga wale wanaosema tatizo la kimo, of course hilo pia ni tatizo ila bado sio tatizo pekee.)
Sidhani hata makocha wetu katika plan zao washawahi kuwa na mbinu za kufikiria kuweza kupata matokeo kupitia mipira iliyokufa. Hususani kwenye mashindano makubwa kama haya.
AbsolutelyMessi na ufupi wake alienda juu zaidi ya Rio na Nemanja.
YaaahHili ni tatizo la timu za Africa kusini mwa jangwa la sahara, linaanzia kwa makipa hadi mabeki, ufupi unachangia kwa nafasi ndogo sana. Kwenye World Cup timu za Africa zinafungwaga sana magoli hayo.
Timu dhaifu? Nipe msimamo horoya ni wangapi hapa afrika vs simbaWewe mwenye mabeki warefu mbona umechezea pia kwa goli lilelile tena mbele ya timu dhaifu?
Sawa tulia punga zeze nimemjibu kama alivyonikotiMmmmmmh kweli elimu yetu bado
Sawa Horoya si timu dhaifu, lkn vp aima ya goli walilofunga.....kulikuwa na mbilikimo?Timu dhaifu? Nipe msimamo horoya ni wangapi hapa afrika vs simba
Nipe rank za CAF horoyo namba ngapi? Zaidi utaleta ubishi wako kama mlivyokuwa hamna akili hapo utopoloniSawa Horoya si timu dhaifu, lkn vp aima ya goli walilofunga.....kulikuwa na mbilikimo?
Mmmmh nisamehe sikujua wa kichwa chako. Mbona huelewi?Nipe rank za CAF horoyo namba ngapi? Zaidi utaleta ubishi wako kama mlivyokuwa hamna akili hapo utopoloni
maarifa hatuna sio vimoNinaamini kuwa tunahitaji mabeki warefu lkn wenye maarifa, ufundi na ujasiri wa kuruka. Mabeki wa Simba si wafupi, lakini juzi waliruhusu goli rahisi sana la mpira wa juu. Aidha, kabla ya hilo goli waliruhusu free header ambayo iliokolewa na Manula.
Kutokana na hoja za wadau kuwa Yanga wanaangushwa sana na vimo vya mabeki, nimenikuta nashangaa sana. Ni vimo pekee? Maarifa wanayo? Goli la kwanza lilisababishwa na ufupi? Au uzembe
Wajuvi tusaidiane
George Magele Masatu, Mark Fish,Ninaamini kuwa tunahitaji mabeki warefu lkn wenye maarifa, ufundi na ujasiri wa kuruka. Mabeki wa Simba si wafupi, lakini juzi waliruhusu goli rahisi sana la mpira wa juu. Aidha, kabla ya hilo goli waliruhusu free header ambayo iliokolewa na Manula.
Kutokana na hoja za wadau kuwa Yanga wanaangushwa sana na vimo vya mabeki, nimenikuta nashangaa sana. Ni vimo pekee? Maarifa wanayo? Goli la kwanza lilisababishwa na ufupi? Au uzembe
Wajuvi tusaidiane