Hivi mabenki yanawachukulia wastaafu mazuzu/wajinga?

Hivi mabenki yanawachukulia wastaafu mazuzu/wajinga?

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Kila benki inawaita wastaafu wapitishie pensheni zao kwao kwa ahadi ya mikopo ya riba ndogo na mambo kama hayo. Uongo mtupu!

Mfano, Azania wanawadanganya watu kwa kushirikiana na PSSSF kuwarubuni kwenda kwao kwa mikopo mizuri ya riba nafuu. Ni uongo, sana sana difference ni ndogo sana, si ya kumsumbua mstaafu.

Tofauti ni ndogo sana na huko benki ya posta waliko!

Haya mabenki yanadhani wastaafu wote walikuwa makuli bandarini kama huko Tanga, Dar etc. Wanasahau kuwa kuna watu wenye akili zao!
 
CCM mbele kwa mbele kila sehemu wizi Kama huo utaratibu ni mngumu mkuu fungua bank yako.
 
Iyo tofaut kidogo unayosema ndo inawavutia watu waende ... halafu lazima ujue biashara ni kujitofautisha na mshindani wako ili uweze kuwini soko pia katika biashara ni lazima ujitangaze kwa hiyo si vibaya hao Azania kutangaza bidhaa yao
 
Hata hawa wenye tozo wanatuchukulia sote hivyo hivyo.
Uko sahihi kabisa wanatuona kama magunia ya viazi mviringo alivyovisema KarlMax kuwa peasants ni kama magunia ya viazi unaweza kuyatreat unavyotaka... peasants consciousness of their political class in a society. ndivyo watanzania tulivyo, sacks of potatoes
 
Back
Top Bottom