chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.
Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.
Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.
Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.
Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.
Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.
Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.
Nyerere ni mkubwa kuliko jina