Hivi Madaraka Nyerere ameona kitu cha kulindwa ni jina la Mwalimu Nyerere, na si falsafa zake?

Hivi Madaraka Nyerere ameona kitu cha kulindwa ni jina la Mwalimu Nyerere, na si falsafa zake?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.

Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.

Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.

Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.

Nyerere ni mkubwa kuliko jina
 
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.

Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.

Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.

Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.

Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Huyu jamaa nae ni tapeli tu.
 
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.

Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.

Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.

Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.

Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Hilo jina ni brand kubwa, hairuhisiwi kutumika hovyo hovyo na watu wa hovyo wasio deserve
 
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.

Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.

Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.

Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.

Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Hujui chochote kuhusu brand, wewe utaona kama jina tu, fatilia brand za majina kama Azam, KFC, Wasafi etc utajifunza mengi.

Jaribu leo kujiita Chiembe Azam kama watakuacha salama.
 
Nyerere ni jina kama yalivyo majina mengine, huwezi kumpangia mtu jina ati kwakuwa linafanana na la kwako.
Jina hilo halijasajiliwa popote ili lisitumike na wengine.
Kuna majina makubwa yanatumika duniani kuliko hilo.
Majina kama Gabriel (jibril)
Jesus (Yesu), Mungu nk.
Kwanini iwe Nyerere!!
 
Hujui chochote kuhusu brand, wewe utaona kama jina tu, fatilia brand za majina kama Azam, KFC, Wasafi etc utajifunza mengi.

Jaribu leo kujiita Chiembe Azam kama watakuacha salama.
Nyerere ni jina tu

Ila Hawa akina Yeriko na Steve ndio wanajaribu kujibrand kupitia hilo jina la Nyerere

Umelelewa? 😂
 
Nyerere ni jina kama yalivyo majina mengine, huwezi kumpangia mtu jina ati kwakuwa linafanana na la kwako.
Jina hilo halijasajiliwa popote ili lisitumike na wengine.
Kuna majina makubwa yanatumika duniani kuliko hilo.
Majina kama Gabriel (jibril)
Jesus (Yesu), Mungu nk.
Kwanini iwe Nyerere!!
kufanana jina na kujiita jina sawa ni vitu tofauti.
ningezaliwa naitwa mkorinto Yesu hakuna mtu angenisumbua,ila kuamua kujiita Yesu halafu naamua kuwa muuza mwili sitaachwa salama.
 
HILI NALO MKALITAZAME.

Nawaagiza akina Kasimu na Kamanda Muliro mwende mkalitazame hili kwa makini kisha mnirudishie ripoti tujue kwanini Jina la NYERERE linatumiwa na TIVU AKE.

Tumeanza kusikia vijikelele kelele kutoka kwa familia ya Mwalimu, hivyo nawaagiza mwende mkalifanyie kazi kisha tuone TUNAKWENDA VIPI kama Taifa.

Kamanda Muliro nina imani na uzoefu wako wa kucheza judo hivyo ninaamini utadili na TIVU AKE kitaalamu kisha unirudishie ripoti yenye HADIDU REJEA.

Wewe ni KAMANDA na mimi ni MAMA. UKINIKUNA NITAKUKUNA.

Cc: Nyani Ngabu FaizaFoxy Lucas Mwashambwa ChoiceVariable Mbaga Jr Lamomy Kapeace Kalpana jingalao
 
Mbona mimi naona hili ni jambo dogo labda kama hatuna vitu vya kupigania. Sina hakika kama jina linalokatazwa lina copyright. Pia kuna watu wengi wanajiita au kuitwa majina ya viongozi wengine wakubwa wa ndani na nje ya nchi bila tatizo lolote. Hizo a.k.a mbona zipo nyingi.
Tukiamua kuanza kushughulika na mambo madogo kama haya tutachelewa sana.
 
Hujui chochote kuhusu brand, wewe utaona kama jina tu, fatilia brand za majina kama Azam, KFC, Wasafi etc utajifunza mengi.

Jaribu leo kujiita Chiembe Azam kama watakuacha salama.
Nyerere sio brand as per your thinking, hata kama ni brand, imesajiliwa wapi? Brela? If you want your brand to be protected, register it
 
Mbona mimi naona hili ni jambo dogo labda kama hatuna vitu vya kupigania. Sina hakika kama jina linalokatazwa lina copyright. Pia kuna watu wengi wanajiita au kuitwa majina ya viongozi wengine wakubwa wa ndani na nje ya nchi bila tatizo lolote. Hizo a.k.a mbona zipo nyingi.
Tukiamua kuanza kushughulika na mambo madogo kama haya tutachelewa sana.
Nyerere ni baba wa taifa na baba wa family yake

Si vema Jina la baba wa taifa kutumika Hovyo na Wasanii nyakati Hizi ambapo orodha ya waliomtembelea Pdidy inazidi kuongezeka 🐼
 
Nyerere ni jina tu

Ila Hawa akina Yeriko na Steve ndio wanajaribu kujibrand kupitia hilo jina la Nyerere

Umelelewa? 😂
Umejiuliza kwanini wasiji brand kwa jina lako waji brand kwa jina la Nyerere.

Au huyo stive kwanini asijiite Steve Abdala.
 
Nyerere sio brand as per your thinking, hata kama ni brand, imesajiliwa wapi? Brela? If you want your brand to be protected, register it
Brand ni Product, service au concept sio lazima isajiliwe, leo ukitaja Mandela lazima concept ikuelekeze huduma iliyofanywa na Mandela wa SA na si Mandela mwingine, Mkwawa, Hitler, Mahtma Gandhi etc.
 
Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.

Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.

Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.

Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.

Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Kazi ya kulinda falsafa ni ya Chama Chake yeye analinda jina la Familia. Huyu jamaa mwenye jina la Mangele kama yule muuwaji wa Hitler kwanini anataka kubadilisha ukoo
 
Back
Top Bottom