Mtu unakomaa kuenzi jina la baba wa mwingine enzi la baba yakoNyerere sio brand as per your thinking, hata kama ni brand, imesajiliwa wapi? Brela? If you want your brand to be protected, register it
Wenye baba yao hawataki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu unakomaa kuenzi jina la baba wa mwingine enzi la baba yakoNyerere sio brand as per your thinking, hata kama ni brand, imesajiliwa wapi? Brela? If you want your brand to be protected, register it
Steve hajiiti Nyerere ila mashabiki wake ndio wanamuita Steve NyerereUmejiuliza kwanini wasiji brand kwa jina lako waji brand kwa jina la Nyerere.
Au huyo stive kwanini asijiite Steve Abdala.
Au Madaraka anataka tumlipe kwa kutumia jina la Baba yake ambae alikua Mwanasiasa !!??Wahuni waache kutumia jina la mwl. Madaraka Yuko sahihi.
Unamzunguziaje Chibu Dangote!!??Hilo jina ni brand kubwa, hairuhisiwi kutumika hovyo hovyo na watu wa hovyo wasio deserve
Tofautisha Brand ya nyota wa mwana mchezo flani,au mfanyabiashara ,na Brand ya Mwanasiasa, Brand ya politician mara nyingi ni free to public!!Hujui chochote kuhusu brand, wewe utaona kama jina tu, fatilia brand za majina kama Azam, KFC, Wasafi etc utajifunza mengi.
Jaribu leo kujiita Chiembe Azam kama watakuacha salama.
Kwani huyo Steve Nyerere kaenda mahakamani na kuwomba uhalali wa kisheria wa kuwa mtoto wa Baba wa Taifa just kupitia jina tu la Steve Nyerere!!?? Kama kama kafanya hivyo Madaraka aache maneno mengi,yeye aende huko Mahakamani akaweke pingamizi lake na atapata msaada wa kisheria kwenye jambo lake!!kufanana jina na kujiita jina sawa ni vitu tofauti.
ningezaliwa naitwa mkorinto Yesu hakuna mtu angenisumbua,ila kuamua kujiita Yesu halafu naamua kuwa muuza mwili sitaachwa salama.
Hapo tulifeli pakubwa aiseeunaanzaje kulinda falsafa ikiwa utaacha jina kubwa hivyo litumike na mtu kama steve???
kuchekea watu wapuuzi nawewe unakuwa sehemu yao.
Uwezo wa mtoa mada hapo juu hakika ni mdogo sana. Na inadhihirisha kuwa mtoa mada ni mbumbumbu na hana uelewa au ni mzito kuelewana mada.Au ni chawa kama machawa wengine.unaanzaje kulinda falsafa ikiwa utaacha jina kubwa hivyo litumike na mtu kama steve???
kuchekea watu wapuuzi nawewe unakuwa sehemu yao.
Take it easy bro!don't take it too personal! Steve Nyerere still hana baya,nataka nikukumbushe aka jina la utani linamfuata mtu automatically, na unaweza tumia.gharama kubwa ili uitwe flani na bado jina likakukataa vile vile!! Hivi unajua kua Nyerere alikua halipendi jina la Mchonga lakini bado jina likamfuata kila anapokwenda!? Au kwenye utawala wa Nyerere ulikua bado hujazaliwa!!? Labda useme Steve Nyerere katumia hilo jina kufungua mirathi ya Mwalimu kama na yeye mrithi hapo ndiyo kutakua na kosa kisheria, na ana staili kukamatwa na kuithibitishia Mahakama kua na yeye ni mrithi!!Uwezo wa mtoa mada hapo juu hakika ni mdogo sana. Na inadhihirisha kuwa mtoa mada ni mbumbumbu na hana uelewa au ni mzito kuelewana mada.Au ni chawa kama machawa wengine.
Alichoongea Madaraka ni kuonyesha , kuwa kwa kuwa Nyerere alikuwa mtu muhimu na mwenye uwezo mkubwa sana. Basi jina lake lisitumiwe hovyo na watu ambao hawana sifa kama yeye. Mfano Steven hana sifa yeyote ya kisiasa au ya kusimama na kama mwanafarisafa kupambana na kutoa hoja nzito nzito duniani kama Nyerere.
Kwann anaitwa Nyerere. Wakati ana sifa ya uchawa? Je, Nyerere alikuwa Chawa na mpumbavu kama Steven? Hapana, Nyerere alikuwa mtu muhimu na mwelewa sana. Sasa, kwann machawa yajiite jina lake? Huo ni udharirishaji wa mtu mkubwa.
Ninaomba watanzania tuepuke hii dhana ya ujinga na upumbavu ya kuwa Chawa na kutumia majina ya watu ili tuwe maarufu. Wakati hiyo sifa hatuna, elimu hatuna.
Kwa mila za Kizanaki hata Julius Nyerere mwenyewe jina la Nyerere si lake.Nyerere ni jina kama yalivyo majina mengine, huwezi kumpangia mtu jina ati kwakuwa linafanana na la kwako.
Jina hilo halijasajiliwa popote ili lisitumike na wengine.
Kuna majina makubwa yanatumika duniani kuliko hilo.
Majina kama Gabriel (jibril)
Jesus (Yesu), Mungu nk.
Kwanini iwe Nyerere!!
Kwa hiyo Steven akiwa chawa anayetumia jina la Nyerere ndiyo tutashindwa kujua huyu chawa?Uwezo wa mtoa mada hapo juu hakika ni mdogo sana. Na inadhihirisha kuwa mtoa mada ni mbumbumbu na hana uelewa au ni mzito kuelewana mada.Au ni chawa kama machawa wengine.
Alichoongea Madaraka ni kuonyesha , kuwa kwa kuwa Nyerere alikuwa mtu muhimu na mwenye uwezo mkubwa sana. Basi jina lake lisitumiwe hovyo na watu ambao hawana sifa kama yeye. Mfano Steven hana sifa yeyote ya kisiasa au ya kusimama na kama mwanafarisafa kupambana na kutoa hoja nzito nzito duniani kama Nyerere.
Kwann anaitwa Nyerere. Wakati ana sifa ya uchawa? Je, Nyerere alikuwa Chawa na mpumbavu kama Steven? Hapana, Nyerere alikuwa mtu muhimu na mwelewa sana. Sasa, kwann machawa yajiite jina lake? Huo ni udharirishaji wa mtu mkubwa.
Ninaomba watanzania tuepuke hii dhana ya ujinga na upumbavu ya kuwa Chawa na kutumia majina ya watu ili tuwe maarufu. Wakati hiyo sifa hatuna, elimu hatuna.
Nani alikwambia kuwa Nyerere hakulipenda jina la mchonga? Aliitwa Mchonga kwa kuwa alionekana kuchonga meno. Na wazanaki wengi wamechonga meno.Kwa hiyo hilo alikuwa jina la mtu mwingine.Take it easy bro!don't take it too personal! Steve Nyerere still hana baya,nataka nikukumbushe aka jina la utani linamfuata mtu automatically, na unaweza tumia.gharama kubwa ili uitwe flani na bado jina likakukataa vile vile!! Hivi unajua kua Nyerere alikua halipendi jina la Mchonga lakini bado jina likamfuata kila anapokwenda!? Au kwenye utawala wa Nyerere ulikua bado hujazaliwa!!? Labda useme Steve Nyerere katumia hilo jina kufungua mirathi ya Mwalimu kama na yeye mrithi hapo ndiyo kutakua na kosa kisheria, na ana staili kukamatwa na kuithibitishia Mahakama kua na yeye ni mrithi!!
Jina ndio kila kitu,fikiria gharama ya kuilinda brand,sio kama chama mboga mboga kwao jina brand sii chochote sii lolote mnasema ninyi mnayo mbeleko na zaidi mnazo chawa na kunguni.Nimeshangaa sana kusikia huyu jamaa akilia wivu kwa watu wanaomuenzi JK Nyerere kwa namna zao.
Madaraka, mbona sikusikii ukihitaji falsafa zake zilindwe? Kuna taasisi ya Mwalimu Nyerere, Butiku ameigeuza kikao cha ukoo cha wazanaki, anakula hela za Urusi, China, Skandnavia.
Mwalimu alikuwa analina mashamba hapo Butiama, hatujakuona shambani. Kazi kupiga mizinga kwa viongozi.
Enzi za Mwalimu elimu bure, wewe ukaishia kwenye pombe na kulala Magomeni eti unapromote ngumi.
Nyerere ni mkubwa kuliko jina
Huyo Madaraka wenu angekua Prince Charles sijui hali ingekuwaje!!?? Naona ange kamata ma wanawake wote wanaojita Elizabeth jina la Mama yake Queen Elizabeth!! Tena naona ange aanza na Elizabeth Michael a k a Lulu wa Kanumba!!Madaraka anatetea baba yake na wewe mleta mada tetea baba yako
Hii sababu haina mashiko.Madaraka alisema hata wao wana mtu anaitwa Steve Nyerere, hivyo inawachanyangaya kujua ni yupi hasa kutokana na matukio mbalimbali.