Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa kuna space mkuu acha kupotosha. Lazima kuwe na space kwaajili ya kuisecure gari isi move kwenda upande wowote na pia mlango unaweza kufunguka kumruhusu mtu kuingia na kutoka kwenye gari.Yaani unakuta gari labda ni scania au isuzu tiper linaingizwa kwenye kontena alafu nafasi ya kufungua mlango ili dereva atoke haipo je!hao madereva huwa wanatokaje?
Mkuu scania inaingia kwenye contena vizuri nishahudia hilo zaidi ya mara moja kinachofanyika nikufungua matairi, na side mirrorScania inaingiaje kwenye kontena boss gari zinazoingia humo ni sedan, suv na hiace.
Sasa ikifunguliwa mataili itaendeshwaje kwa kuingia na DETEVAMkuu scania inaingia kwenye contena vizuri nishahudia hilo zaidi ya mara moja kinachofanyika nikufungua matairi, na side mirror
Huwa kuna space mkuu acha kupotosha. Lazima kuwe na space kwaajili ya kuisecure gari isi move kwenda upande wowote na pia mlango unaweza kufunguka kumruhusu mtu kuingia na kutoka kwenye gari.
...
kijana acha uvivu wa kufikiri, shughulisha akiliYaani unakuta gari labda ni scania au isuzu tiper linaingizwa kwenye kontena alafu nafasi ya kufungua mlango ili dereva atoke haipo je!hao madereva huwa wanatokaje?
Je cabin ya gari ina dimensions sawa na za hiyo trailer (body)?Space inatoka wapi hadi mtu apiteView attachment 2631023
Kama hapa anatokaje mtu