Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji114][emoji114][emoji114]View attachment 2631035
Kifaru hicho.Hili linafanya kazi gani
Huwa wanabaki huko wakiendelea kupiga muziki na vyakula vya kutosha huwa wanawekewa hadi gari inapofiki wanaitoa na kurudi makwao huku wakishsvyinjari kama wataliiYaani unakuta gari labda ni scania au isuzu tiper linaingizwa kwenye kontena halafu nafasi ya kufungua mlango ili dereva atoke haipo je, hao madereva huwa wanatokaje?
Hawa sasa ndo walikomesha,na kwann wanapenda kubebea kwenye makontena[emoji114][emoji114][emoji114]View attachment 2631035
Yaani unakuta gari labda ni scania au isuzu tiper linaingizwa kwenye kontena halafu nafasi ya kufungua mlango ili dereva atoke haipo je, hao madereva huwa wanatokaje?
Mlango unaotumika ndio huohuo unatumika kuingiza gari kwa kutumia forklift ungepata chance ya kutembelea maeneo ya bandari usingeshangaa maana ni jambo la kawaida sana..Inaingizaje wakati contena lanakuwa limesilibwa pande zoteView attachment 2631019
Mwanzo nimeandika kuwa inaingizwa kutumia mashine kama forklift..Sasa ikifunguliwa mataili itaendeshwaje kwa kuingia na DETEVA
Ujiongezi kama kuna namna nyingine ya kuingiza bira dereva kuwepo