Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elewa mantiki ya mtoa post, fungu la barabara ya Nyehunge limepitushwa na bunge gani, miaka mitano hujatoa ajira unakuja kuajiri kipindi hiki, hiyo ni rushwa tu.Kwa sasa hivi kwa ushauri wako kila kitu kisimame hadi uchaguzi au?
Rais wa wapi mkuuHata Hashim Rungwe ni rais. Lakini kanyimwa kugawa ubwabwa.
Simpondi ila namshauri afu nipo kwenye katiba bado maana ni haki yangu kujieleza na kuhoji.Umeanza maelezo vizuri kwa kumtaja Magufuli ni rais wako, cjajua umevurugwa nn kuanza kumponda rais wako! Kwa namna ulivyoanza maelezo, ulikuwa sahihi kikatiba, cjui imekuwaje ukatoka nje ya katiba!
Wewe ndio unatia hurumaAnatia huruma sana magufuli
Haki ya kujieleza na kuhoji hujaitendea haki, huenda umri wako unakuruhusu kuwaza hayo!Simpondi ila namshauri afu nipo kwenye katiba bado maana ni haki yangu kujieleza na kuhoji.
Hata ununuzi wa ndege wapo wanadai haujawahi kufika bungeni.Elewa mantiki ya mtoa post, fungu la barabara ya Nyehunge limepitushwa na bunge gani, miaka mitano hujatoa ajira unakuja kuajiri kipindi hiki, hiyo ni rushwa tu.
Yeye bado ni rais na bado anapigania kazi kwa watanzania kama kipo ndani ya uwezo ni kuagiza tu .Sema na wewe akifanyiwa nini sema tu usiogope.Nakuuliza wewe Rais wangu Magufuli umekuwa madarakani miaka yote mitano inamaana ulikuwa huoni umuhimu wa kuvifanya hivyo vitu mpaka leo hii kipindi cha kampeni ndio utoe amri vifanyike?
Umetoa amri ya kuajiri walimu, Umetoa amri ya kujenga barabara huko kanda ya ziwa na nyingine nyingi tu sasa muda wote huo ulikuwa wapi hukufanya hivyo mpaka leo kwenye kampeni?
Kwenye suala la ajira kila mwaka bunge lilikuwa linapitisha bajeti ya ajira mpya ulikuwa hulijui hilo kweli mheshimiwa? Basi toa zile ajira zote zaidi ya elfu 46 zilizo pitishwa na bunge mwaka huu ili tuone kweli unatekeleza kweli au ndio unatuchora wapiga kura wako?
Hivi hujui na Watanzania nao wanakuchora tu kama wewe unavyo wachora hapo jukwaani kwa kuwahadaa na ajira za walimu na barabara? Watangulizi wako hayo mambo walikuwa wanayafanya kabla ya uchaguzi ndio maana watanzania waliwapa miaka 10 ya uongozi bila ubishi.
Magufuli hukupaswa leo kufanya hivi unavyo fanya leo jukwaani kwani serikali yako imekuwa ikijinasibu kila kukicha imefanya makubwa. Ni kweli mmefanya makubwa ila makubwa bila kugusa maisha ya mtu binafsi na kudili na vitu hizo ni sifa za kijinga na ndicho kinacho wakosti leo kwenye kampeni.
Leo hii mtu aliye kuwa kwa mabeberu kwa zaidi ya miaka mitatu anaonekana wa maana zaidi kwa wananchi kuliko wewe unae jiita mzalendo ambaye kwa miaka mitano yote ulikuwa humu humu ndani ukipiga kazi! Kuna tatizo sehemu.
Tatizo ni Magufuli.Tatizo sio Magufuli, tatizo ni Katiba yetu
Kwani tatzo la walimu ni la Leo?Kwa sasa hivi, kwa ushauri wako, kila kitu kisimame hadi uchaguzi au?