Uchaguzi 2020 Hivi Magufuli, hivyo vitu unavyoamuru vifanyike kipindi hiki cha kampeni ulikuwa wapi siku zote kufanya hivyo?

Huyu mzee siasa hajui ye ni mnyapala tu tuombe Mungu asitawale milele kama anavyopanga.
 
Kwa sasa hivi kwa ushauri wako kila kitu kisimame hadi uchaguzi au?
Elewa mantiki ya mtoa post, fungu la barabara ya Nyehunge limepitushwa na bunge gani, miaka mitano hujatoa ajira unakuja kuajiri kipindi hiki, hiyo ni rushwa tu.
 
Hahaha .ajira no kada nyigi haha ajiri .hata hao walimu hajawamaliza mtaani.lingine ni .jee nyongeza ya mishahara kwa watumishi Napo afanye.kuanzia 2016 aweke nyongeza ya Kila mwaka Hadi mwaka huuu.atangulie kwa kuwaomba radhi watumishi.
 
Umeanza maelezo vizuri kwa kumtaja Magufuli ni rais wako, cjajua umevurugwa nn kuanza kumponda rais wako! Kwa namna ulivyoanza maelezo, ulikuwa sahihi kikatiba, cjui imekuwaje ukatoka nje ya katiba!
 
Umeanza maelezo vizuri kwa kumtaja Magufuli ni rais wako, cjajua umevurugwa nn kuanza kumponda rais wako! Kwa namna ulivyoanza maelezo, ulikuwa sahihi kikatiba, cjui imekuwaje ukatoka nje ya katiba!
Simpondi ila namshauri afu nipo kwenye katiba bado maana ni haki yangu kujieleza na kuhoji.
 
JPM ndio rais aliyeko ambaye yuko usimlinganishe na wale wapuuzi
 
Huyo ndio zake toka alipokuwa waziri alikuwa na tabia ya kutoa ahadi za rushwa za wazi, wakati wa uchaguzi.
 
Simpondi ila namshauri afu nipo kwenye katiba bado maana ni haki yangu kujieleza na kuhoji.
Haki ya kujieleza na kuhoji hujaitendea haki, huenda umri wako unakuruhusu kuwaza hayo!
 
Elewa mantiki ya mtoa post, fungu la barabara ya Nyehunge limepitushwa na bunge gani, miaka mitano hujatoa ajira unakuja kuajiri kipindi hiki, hiyo ni rushwa tu.
Hata ununuzi wa ndege wapo wanadai haujawahi kufika bungeni.

Sishangai
 
Yeye bado ni rais na bado anapigania kazi kwa watanzania kama kipo ndani ya uwezo ni kuagiza tu .Sema na wewe akifanyiwa nini sema tu usiogope.
 
Anachokifanya yeye ni ghiriba na hadaa kwa wajinga wenzio wa Ccm. Budget circle unaanza
 
Unafiki , na uoga wake dhidi ya Kamanda na Rais mteule Tundu Lissu vinamsumbua,
Akilala akimka anawaza huyu Rais Mteule kesho atanitwanga na jiwe lipi
 
Sidhani kama kuna nchi Africa iliwahi kupata Rais wa viwango vya chini kama huyu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…