I IPECACUANHA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 3,226 Reaction score 1,919 Jun 29, 2023 #1 Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo? Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu?
Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo? Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu?
Sirdirashy JF-Expert Member Joined Jan 26, 2014 Posts 3,243 Reaction score 3,047 Jun 29, 2023 #2 Mkuu ni mwanaume acha kufatilia maisha ya watu tafuta pesa na jipambanie utoboe.
I IPECACUANHA JF-Expert Member Joined Feb 19, 2011 Posts 3,226 Reaction score 1,919 Jun 29, 2023 Thread starter #3 Sirdirashy said: Mkuu ni mwanaume acha kufatilia maisha ya watu tafuta pesa na jipambanie utoboe. Click to expand... Tulia utajifunza kitu. Wapishe wakazi wa Iringa waje hapa.
Sirdirashy said: Mkuu ni mwanaume acha kufatilia maisha ya watu tafuta pesa na jipambanie utoboe. Click to expand... Tulia utajifunza kitu. Wapishe wakazi wa Iringa waje hapa.
Pukudu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 3,149 Reaction score 2,232 Jun 30, 2023 #4 Namkumbuka Makosa last time alikuwa na kibar kinaitwa makosa hyo 2007/08
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Jun 30, 2023 #5 Sirdirashy said: Mkuu ni mwanaume acha kufatilia maisha ya watu tafuta pesa na jipambanie utoboe. Click to expand... Unapita kimya. Kuna shida mahali? Maana umefoka balaa utafikiri maisha ya jamaa unayafahamu..
Sirdirashy said: Mkuu ni mwanaume acha kufatilia maisha ya watu tafuta pesa na jipambanie utoboe. Click to expand... Unapita kimya. Kuna shida mahali? Maana umefoka balaa utafikiri maisha ya jamaa unayafahamu..
Gulio Tanzania JF-Expert Member Joined Jan 30, 2018 Posts 3,325 Reaction score 7,807 Jun 30, 2023 #6 Huwa namuona kachoka sana sizani kama ana pakulala IPECACUANHA said: Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo? Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu? Click to expand...
Huwa namuona kachoka sana sizani kama ana pakulala IPECACUANHA said: Wakazi wa Iringa hivi huyu mwamba wa Iringa aliyewahi kumiliki vibasi vyanavyokwenda Ilula na Zahanati yupo? Anaendeleaje na maisha yake ambayo ni hadithi tosha yenye mafunzo kwa watu? Click to expand...