Hivi Malaika huzaa na kufa pia?

Hivi Malaika huzaa na kufa pia?

Maumivu ya kwenye ndoto huwa hayapatikan kwny mwili mkuu, huo ni mfano tu wa namna roho inaweza ikapitia challenges mbali mbali bila kuwa na mwili.
Roho ni mfano wa nafsi inayojitegemea kimikakati, lakini haiwezi kuonekana kwa namna ya kimwili. Ndo maana mapepo ili kutimiza azma za kimwili huwa inawalazimu kuwa ndani ya mtu kwanz ndo wakamilishe mission
Note: Nafkir maelezo yang yatakuw yana base zaid kwa watu ambao wanaamini kuhus uwepo wa Mungu na roho nyingine ambay msingi wa maelezo yake ni kweny maandiko matakatifu
Nini maana ya roho? Je roho inapatikana kwa binadamu pekee au hata viumbe wengine kama vile kuku nao wanayo roho?
 
Malaika hawana matamanio hivyo hawawezi kuzaa
Viumbe vyote vitakufa kwani kila nafsi itaonja mauti mpaka majini na malaika pia
Malaika watakufa mwisho kabsa na malaika wa mwisho kufa ni Israel mtoa roho
Shetani yupo mpaka Leo kwa sababu Mara baada ya kufukuzwa mbinguni na kulaaniwa Aliomba awekwe duniani mpaka Siku ya kiama,

Allah akamwambia atakaa duniani mpaka wakati maalum hivi wakati wake ukifka atakufa
Nb:viumbe vyote vitaonja mauti atabaki Allah pekee kisha atamfufua malaika israfilu ili apulize parapanda la ufufuo
Hii ni kwa mujibu wa Quran
Quran siyo Kitabu cha Mungu ndo maana ni
 
Ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya tele wakuu!

Katika tafakari zangu za huku na kule ktk masuala ya imani ya dini, inaonekana ni Mwenyezi Mungu pekee ndiye mkamilifu kwa maana ya kuwa kwetu viumbe hatujui mwanzo na hatujui mwisho wake! Hakuumbwa na hatakufa, na kwamba Mwenyezi Mungu ni wa Milele yote ijayo! Tena hapana kiumbe kingine cha kufananishwa nae!

Sasa, mimi sina tatizo na hilo, ninachotaka kujua leo ni hili la malaika ama mapepo, hivi nao huzaa na kufa? Kama huzaa, huzaa kwa njia gani? Kama hufa, hufa kwa namna gani?

Mbona huyu kiumbe yeye tangu tuanze kusikia habari zake yeye hakuwahi kufa mpaka leo? Wanamuita Shetwani/shetani! Huyu kiumbe ktk vitabu vya dini anapewa mamlaka kubwa sana! Anapewa ushindani mkubwa wa Mwenyezi Mungu na kwamba kwa Mwenyezi Mungu kuwapenda viumbe vyake, basi amekuwa akishusha manabii na mitume yake kulingana na umma wa nyakati zake ili kuwanusuru viumbe vyake na mwovu shetwani/shetani!

Kama malaika na mapepo wana ukomo kama viumbe vingine, mbona huyu kiumbe shetwani/shetani anaishi kwa muda mrefu namna hii? Ni mpango wa Mungu shetwani/shetani kuendelea kuwarubuni/kuwashawishi viumbe wa Mungu kuangamia mwisho wa Dunia katika ile hukumu ya haki?

Kila nikitafakari, nashangaa sana, viumbe vikikoma uhai hapa duniani kumekuwa na msemo, tulikupenda ila Mwenyezi Mungu kakupenda zaidi! Kwa nini Mwenyezi Mungu hajampenda zaidi Shetwani/shetani? Ona sasa mwishowe nafika mbali, samahani imeandikwa, Mwenyezi Mungu hachunguziki kwa akili za kibinadamu ila kwa angalau wenye uelewa naomba mshiriki kunipa elimu kidogo!

Nawasilisha!
 
Malaika wote ni wanaume ndio maana majina yao ni ya kiume.
Ref
Gabriel
Michaeli
Jinsia ya kike iliumbwa ktk mwili wa kibinadamu tu ili mtu mume Adamu apate msaidizi.
Kabla ya hapo hakukuwepo na jinsia ya kike.
Hata Shetani Lucifer ni mwanamume.
Mungu Muumba Mbingu na Nchi ni Mwanamume.
Ref
Baba yetu uliye Mbinguni.
Emb twende na vyote kutafuta ulinganifu.
Umesema kabla ya kuumbwa binadamu hapakuwepo na jinsia ya kike.
Twende kwenye baiolojia .
Inasemekana kiumbe binadamu ameumbwa wa mwisho. Kabla yake viumbe vyote vilikuwepo, hadi viumbe vingine viliangamia kabla ya binadamu kuumbwa, mfano dinosaurs.
Pointi hiyo ni kwamba viumbe vilikuwepo kwa jinsia mbili jike na dume, pia kifo kilikuwepo asilia kabla ya historia ya binadamu.
Hadithi za kusema binadamu aliumbwa dume peke yake,wakati teknolojia ya uzazi na vifo ilikuwepo tayari, mimi ninakuwa na wasiwasi katika kuamini muktadha mzima juu ya ukweli wa hadithi zihusuzo uumbaji wa M/Mungu zilizotungwa na binadamu kama zina chembe yoyote ya ukweli.
 
Mkuu haya Mambo ukihoji Sana kichwa kitakuuma we ishi unavyoweza,Mambo haya hayana kichwa Wala miguu tumapelekwa tu
 
Mwaka juzi alidondoka malaika london kwa hiyo unaweza kwenda kumuuliza zaidi swali lako
 
Suala LA kuzaa Sina uhakika mana nijuavyo malaika wote ni wanaume Mikael, lafael, Gabriel n.k. Ile mijitu mikubwa Goliath walitokana na malaika kuwaingilia binadamu WA kike ndo wakatokea kina goliati
ef4d69fb7c78996e90d3e6cd5ea41334.jpg
fe98d84cc8240296a12ae9638e8f81c9.jpg
 
Emb twende na vyote kutafuta ulinganifu.
Umesema kabla ya kuumbwa binadamu hapakuwepo na jinsia ya kike.
Twende kwenye baiolojia .
Inasemekana kiumbe binadamu ameumbwa wa mwisho. Kabla yake viumbe vyote vilikuwepo, hadi viumbe vingine viliangamia kabla ya binadamu kuumbwa, mfano dinosaurs.
Pointi hiyo ni kwamba viumbe vilikuwepo kwa jinsia mbili jike na dume, pia kifo kilikuwepo asilia kabla ya historia ya binadamu.
Hadithi za kusema binadamu aliumbwa dume peke yake,wakati teknolojia ya uzazi na vifo ilikuwepo tayari, mimi ninakuwa na wasiwasi katika kuamini muktadha mzima juu ya ukweli wa hadithi zihusuzo uumbaji wa M/Mungu zilizotungwa na binadamu kama zina chembe yoyote ya ukweli.
Kweli kabisaaaaa
 
Emb twende na vyote kutafuta ulinganifu.
Umesema kabla ya kuumbwa binadamu hapakuwepo na jinsia ya kike.
Twende kwenye baiolojia .
Inasemekana kiumbe binadamu ameumbwa wa mwisho. Kabla yake viumbe vyote vilikuwepo, hadi viumbe vingine viliangamia kabla ya binadamu kuumbwa, mfano dinosaurs.
Pointi hiyo ni kwamba viumbe vilikuwepo kwa jinsia mbili jike na dume, pia kifo kilikuwepo asilia kabla ya historia ya binadamu.
Hadithi za kusema binadamu aliumbwa dume peke yake,wakati teknolojia ya uzazi na vifo ilikuwepo tayari, mimi ninakuwa na wasiwasi katika kuamini muktadha mzima juu ya ukweli wa hadithi zihusuzo uumbaji wa M/Mungu zilizotungwa na binadamu kama zina chembe yoyote ya ukweli.
Umejichanganya ndugu. Mimi nimesema kabla ya kuumbwa kwa Binadamu hakukuwa na jinsia ya kike ya jamii inayojitambua kama Malaika na sio WANYAMA.
Kumbuka mada inajadili kuhusu MALAIKA.

Pia Chanzo cha habari zangu nimekitoa katika kitabu cha kale zaidi, yaani cha zamani zaidi au kitabu cha kwanza kuandikwa katika historia ya Binadamu.
Biblia takatifu ambayo ina agano la Kale na Jipya. Na sio vitabu vya hadithi kama unavyosema umevinukuu.
Biblia ni Kitabu cha Kweli na sio cha hadithi.
Ukweli na Ukale wa Biblia ndio unaofanya kuwa kitabu cha kwanza kuuzwa kwa wingi zaidi hapa duniani, kikiwa kimeandikwa katika lugha nyingi zaidi kupita vitabu vyote.
Kitabu hicho cha ukweli kinasema wazi kuwa Eva ni mwanamke wa kwanza kuumbwa, hapa hatuzungumzii wanyama.
Kabla ya ulimwengu na wanyama kuumbwa, jamii iliyokuwepo ni Malaika na Shetani. Mungu ndiye aliyekuwa muumbaji wa jamii hizo.
Hapo sasa ndipo palipokosa jinsia ya kike.
Malaika na Shetani wote ni wanaume Biblia inasema.
Ukisoma kitabu cha Mwanzo sura ya 18 utaona jinsi Mungu alivyomtokea Ibrahimu akiongozana na Malaika wawili akiwa njiani kuangalia vilio vya Sodoma na Gomola.
Wote walijitokeza katika mwonekano wa Binadamu Wanaume Watatu.
Ibrahimu akamtambua Mungu akawaandalia chakula wakala, Mungu akamwambia kuwa atamzaa Isaka.
Mwisho Ibrahimu akamwambia Mungu, Bwana ikiwa huko watapatikana watakatifu kumi je utaichoma moto Sodoma na Gomola ? Mungu akamjibu hataichoma wakipatikana watakatifu
kumi.
Labda nikuambie hivi ili uelewe.

Kabla ya ulimwengu huu tunaouona kwa macho na kuupapasa haujaumbwa, hakukuwepo jinsia ya KIKE.

Eva ni Mwanamke wa kwanza kuumbwa katika jamii inayojitambua.
Wanyama sio wanawake ni wa kike.
 
Malaika hawana matamanio hivyo hawawezi kuzaa
Viumbe vyote vitakufa kwani kila nafsi itaonja mauti mpaka majini na malaika pia
Malaika watakufa mwisho kabsa na malaika wa mwisho kufa ni Israel mtoa roho
Shetani yupo mpaka Leo kwa sababu Mara baada ya kufukuzwa mbinguni na kulaaniwa Aliomba awekwe duniani mpaka Siku ya kiama,

Allah akamwambia atakaa duniani mpaka wakati maalum hivi wakati wake ukifka atakufa
Nb:viumbe vyote vitaonja mauti atabaki Allah pekee kisha atamfufua malaika israfilu ili apulize parapanda la ufufuo
Hii ni kwa mujibu wa Quran


Dahh inatisha sana mkuu, kwahiyo ukisikia parapanda ukiamua kunyuti ama kukaa kimya kaburiini usijitokeze nini kitafuata? au kutakua na msako wa kaburi hadi kaburi?
 
Mbona tunasikia kupitia vitabu vya dini na mahubiri tofauti kwamba ukitenda wema siku ya mwisho unakabidhiwa chombo mtoto mrembo malaika uburudike nae hapo vip wakuu wekeni wazi
 
We ukisikia parapanda linapigwa kaa kimya kaburini unajificha kidogo mpaka sensa ipite wakutafute kaburi hadi kaburi
 
Dahh inatisha sana mkuu, kwahiyo ukisikia parapanda ukiamua kunyuti ama kukaa kimya kaburiini usijitokeze nini kitafuata? au kutakua na msako wa kaburi hadi kaburi?
Yan hiyo itakua, automatically ukisikia tu unatoka kaburini mbio kuelekea uwanja wa kisimamo yaan kiyama,kiyama maana,yake,ni,kisimamo yani tutasimama sana Siku hiyo mpaka watu wataomba mungu ahukumu tu wa,peponi waende wa,motoni waende
 
Mbona tunasikia kupitia vitabu vya dini na mahubiri tofauti kwamba ukitenda wema siku ya mwisho unakabidhiwa chombo mtoto mrembo malaika uburudike nae hapo vip wakuu wekeni wazi
Watakao ingia peponi ndo wataozeshwa mahurain 70 yan wasichana bikra ambao hawazeeki wapo na ujana cku zote
 
Watakao ingia peponi ndo wataozeshwa mahurain 70 yan wasichana bikra ambao hawazeeki wapo na ujana cku zote
wacha bana daah raha sana sasa watakubali kugegedwa na kutiwa mimba au hamna tena kuzaa?
 
Yan hiyo itakua, automatically ukisikia tu unatoka kaburini mbio kuelekea uwanja wa kisimamo yaan kiyama,kiyama maana,yake,ni,kisimamo yani tutasimama sana Siku hiyo mpaka watu wataomba mungu ahukumu tu wa,peponi waende wa,motoni waende

Daah siku hiyo noma itabidi kila mtu akae na familia yake karibu kuteteana
 
Umejichanganya ndugu. Mimi nimesema kabla ya kuumbwa kwa Binadamu hakukuwa na jinsia ya kike ya jamii inayojitambua kama Malaika na sio WANYAMA.
Kumbuka mada inajadili kuhusu MALAIKA.

Pia Chanzo cha habari zangu nimekitoa katika kitabu cha kale zaidi, yaani cha zamani zaidi au kitabu cha kwanza kuandikwa katika historia ya Binadamu.
Biblia takatifu ambayo ina agano la Kale na Jipya. Na sio vitabu vya hadithi kama unavyosema umevinukuu.
Biblia ni Kitabu cha Kweli na sio cha hadithi.
Ukweli na Ukale wa Biblia ndio unaofanya kuwa kitabu cha kwanza kuuzwa kwa wingi zaidi hapa duniani, kikiwa kimeandikwa katika lugha nyingi zaidi kupita vitabu vyote.
Kitabu hicho cha ukweli kinasema wazi kuwa Eva ni mwanamke wa kwanza kuumbwa, hapa hatuzungumzii wanyama.
Kabla ya ulimwengu na wanyama kuumbwa, jamii iliyokuwepo ni Malaika na Shetani. Mungu ndiye aliyekuwa muumbaji wa jamii hizo.
Hapo sasa ndipo palipokosa jinsia ya kike.
Malaika na Shetani wote ni wanaume Biblia inasema.
Ukisoma kitabu cha Mwanzo sura ya 18 utaona jinsi Mungu alivyomtokea Ibrahimu akiongozana na Malaika wawili akiwa njiani kuangalia vilio vya Sodoma na Gomola.
Wote walijitokeza katika mwonekano wa Binadamu Wanaume Watatu.
Ibrahimu akamtambua Mungu akawaandalia chakula wakala, Mungu akamwambia kuwa atamzaa Isaka.
Mwisho Ibrahimu akamwambia Mungu, Bwana ikiwa huko watapatikana watakatifu kumi je utaichoma moto Sodoma na Gomola ? Mungu akamjibu hataichoma wakipatikana watakatifu
kumi.
Labda nikuambie hivi ili uelewe.

Kabla ya ulimwengu huu tunaouona kwa macho na kuupapasa haujaumbwa, hakukuwepo jinsia ya KIKE.

Eva ni Mwanamke wa kwanza kuumbwa katika jamii inayojitambua.
Wanyama sio wanawake ni wa kike.

Hata biblia ni kitabu cha hadithi pia, Kwa maana Ulimwengu ndio uliyoanza kuwepo kwanza na watu walikuwa wakiishi kama kawaida ndipo baadae zikafuatia hizi simulizi (vitabu vya kidini) Kutoka kwenye kuumbwa kwa ulimwengu hadi kuandikwa kwa biblia kuna miaka mingapi imepita?
 
Back
Top Bottom